Nitampigia kura Edward Ngoyai Lowassa!

Nitampigia kura Edward Ngoyai Lowassa!

naomba nieleweke nitamchagua ENL hata wakimnunua ccm
 
Baada ya kufatilia mijadala na kampeni hatimaye nimefanya maamuzi. Nimeamua kumsapoti Magufuli ila kura nitampa Lowassa.Why?CHADEMA na CCM vina matatizo yanayofanana:

1. Vyote vimezungukwa na mafisadi ambao ndio chanzo cha umasikini wetu:

2. Vina watu wanaojiona kua na hati miliki ya vyama vyao, wenyechama,
hivyo ktengeneza mfumo unaowaweka kando wengine. Ikitokea CHADEMA ikashinda urais, kutatokea msambaratiko mkubwa ndani ya CHADEMA na CCM kwa pamoja.

CHADEMA Mafisadi/wenyechama watapambana na wanamadiliko wa kweli ktk kuunda mfumo wa serikali. Kadhalika, CCM mafisadi/wenyechama watajitenga na CCM kwani kitakua sio dili tena.

Mpambano CHADEMA may take all 5 years before wanamabadiliko wa kweli kuibuka washindi.

Kadhalika may take same time kwa mafisadi/wenyechama wote ndani ya CCM kujitenga kabisa na chama. Hence come 2020 we will hav two opposing political parties which are both loyal to the nation.

Hapo ndio utakua mwanzo wa madiliko tunayotafuta leo. To have all this happen, Lowassa must win, and this is the only reason i will giv him my vote. This is based on my own logical thinking and analysis.
 
Siku zimefika, lakini kuna maswal ya kujiuliza khusu nchi yetu, hali za maisha na uchumi haswa huduma muhimu za jamii kama maji umeme na elimu. Uchumi nao tuufikirie. CCM wamefanya mengi na wamefikia kitu tunachokiita diminishing return, ndio maana hospital zimebak zile zile bila kujal idad ya watu ilivyoongezeka. Pia wameshindwa kutupa utawala bora kupitia katba mpya, rasilimali zetu zimevunwa kwa wingi hali maendeleo yamekua duni .CCM imejitahidi lakini kwa sasa tunahitaji watendaji wapya kwa mfumo mpya watakaotupa utofauti. HIVYO BASI WATANZANIA WOTE BILA KUJALI DINI,KABILA,ITIKADI TUCHAGUE UKAWA TUPATE UTENDAJI TOFAUTI, PASIPO UTOFAUTI WA KUFANYA MAMBO MTU HUWEZI KUFANIKIWA
 
haijalishi kama ukawa wataniletea maendeleo au la! Lakini mimi na nyumba yangu tutamchagua mh. Lowassa ili kuionesha dunia kwamba tanzania ni ya watu wote, si ya ccm pekee!

Hata aje mtu mwingine kuniambia mh. En. Lowassa ni 'vampire' still nitampa kura yangu; simply because nimeamua kuwa yatosha sasa kwa ccm after 54 years below par performance!

Cc:
Wana #ukawa pamoja na wooote wapendao mabadiliko tanzania!

lowassa ndiye rais wetu.
 
SEMA TUTAMPIGIA SIO UTAMPIGIA,watu wote wenye akili timamu watamchagua EDWARD LOWASSA KESHOKUTWA.
 
Nami kesho kutwa anaekura yangu kabla ya saa tatu nitakua nimeshapiga hakika nawaelezeni ndugu zanguni
 
Back
Top Bottom