naonambali
Member
- Oct 17, 2012
- 32
- 17
It is always a matter of time kwa ukweli kujitenga na uongo. Muhongo is the best candidate, na naamini CC ya ccm is wise enough to see that. Kila lakheli prof.
Watanzania watu wa ajabu sana,c ni nyie ndo mlikua mnalia kila cku huyu jamaa ajiuzulu kwenye skendo ya ESCROW!
Yaani aibu imewashika hadi kwa sasa wanapata woga. Walidhani hatopata wadhamini sasa wanaambiwa watu wanampigania kumdhamini BILA PESA, wao wajiandae kulipa kodi stahiki za serikali katika AWAMU YA TANO.
Tusaidie ndugu yangu unayejua aliruhusuje escrow kupita?
Kwa taarifa ipi ya uchunguzi au maadili uliyokuwa nayo labda sie hatuna? CAG AU PCCB AU TUME YA MAADILI???
Usikimbie tu kama wenzako walivokimbia ndugu tuambie hapa.
Mtu akiongea ukweli mnaanza kutunga eti mtu ana ubini nae.
Hizi ni dharau kubwa kwa kizazi cha Tanzania na Watanzania. Tuseme watanzania hatufuatilii mambo? Tuseme watanzania sio wachunguzi kama ulivo wewe????
Embu tuambie wapi muhongo amesema yeye ni mtaalam wa kila kitu??? au ndo unamlisha maneno????? Alafu tuambie wapi Muhongo alitoa uamuzi wa fani asiyo na uelewa nayo???? Na wapi Muhongo alitoa uamuzi bila kufuata ushauri????? Naona umekuja na satori zingine basi tuthibitishie hapa.
Our god must be crazzy, this guy still stinks escrow
Cag mstaafu nikabilagani nijuzeni
Mkuu umenena! huyu jamaa hatufai hata kidogo ni tapeli tu! Umeme viijiini n sera ya taifa na sio mpango wa Mhongo hata kidogo na utaendelea bila yeye na fedha za wahisani sio za wakurya!
Najua saivi wanajipanga waje na mbinu ipi dhidi yake na sijui watakuja na ipi kwa sababu tumeshaamka watanzania na tunazidi kuwaamsha wengine wajue ukweli ni upi. Kikubwa alichonifurahisha Prof Muhongo alisema wazi kwenye speech yake kuwa akifanikiwa kwenye serikali yake Mapato ya serikali,mashirika yake na wafanyabiashara yatawekwa wazi. Nafikiri huu ulikuwa ni wakati wa wao kujiandaa kisaikolojia tu kwa sababu sijui watakwepaje tena kodi.
Victorie jamaa pale alipamudu vibaya sna. Hakuna tena wa kuvaa viatu vyake pale isee.
Huyu jamaa aunge na Lowasa ili awe waziri mkuuu
Huyo Muhongo bado atakua waziri wa nishati na madini.
Waziri mkuu ni Magufuli.
Serikali ya Lowasa ni serikali ya mchaka mchaka wa maendeleo.
Waziri wa fedha ni Mwigulu na Naibu wake ni Ciril Chami.Waziri wa mambo ya ndani ni Kangi Lugola.
Your god must be crazy ,this guy still stinks escrow
Na majibu yake ya mkato awe rais wa huko mwenu Msoma
Nikadhani kamfikia lowasa Robo hivi dahh mtoa muda una mihemko please punguza
Kwenye mabano ndo idadi ya wadhamini aliopata?