ila Airtel wana matangango mazuri sanaa
B/sprey 15000/=,pangaboi 50000/= na malapa 1000/= jumla 65500/= hesabu za mangi na bado anapata faida hiyo mali yaomyesha ni yakupiga ndio maana dogo kwa vile anamjulia mangi akaona hata akilipa buku bado kuna faida
Hesabu inaenda mulama
Uwe unasoma tena kubla ya kupost
duh nouma snKwani wewe ulisoma kabla ya kupost?
Uwe unasoma tena kubla ya kupost
Kwani wewe ulisoma kabla ya kupost?
Ninalo ila sina bando ningeliweka
kyalankota
Ndorooooobo weee !!! Yaani umedhindwa kurecord kwenye spika ya redio yako unatusumbua as apa,..... Ndoroooobo weeee!!!
Mr Matangango ft Kubla mtatoa bonge moja ya single.
Wekeni na picha basi jmn.
Umedhindwa kurekodi ndo nini? Ndoroooooobo weeee!
Yaan hata huwa nalipenda kweli... hivi nani aliyeli create??
Picha ya nin sasa? ? Ndoroboo