MSAADA WADAU!
Nipo najifunza taaluma hii ya madishi ila kuna
maelezo siyaelewi naomba kueleweshwa!
1) Hili swala la ueleke lina maana gan? Utajuaje
kama uelekeo huu ni wa Azam, DSTV au
zinginezo?
Kwa leo mnisaidie hilo wadau
Asante kwa ushauri wako nimejitazama na sioni shaka kwangu! Kama matunzo ingekuwa magumashi nisingeshangaa kwa anavyovifanya lakin kwa kuwa anapata anachohitaji ndo maana ninashangaa!
Kuchelewa kutoa mahali ni kwa kuwa familia yao ina mgogoro kuhusu nani hasa apokee mahali kwa kuwa baba yake...
Kuhusu kumchapa makofi naona ndo itakula kwangu wanawake nowdays wana msaada mno ukishamchapa makofi utaishia polisi tu naona bora nitafute cha kuniweka busy nimpe ruhusa aende zake
xfactor
Moja yeye ndo mwenye maamuzi ya mwisho kwa kila kitu hataki ushauri! Pili kuna ushahidi wa yeye kutokuwa mwaminifu na ukimwambia anakuwa mbogo! Kasave jina la mwanaume anayetuhumiwa nae kifupi T na mawasiliano yao hayanibariki kabisa!
Tatu ni aina ya marafiki alionao na story...
Kaka na dada zangu hapa Jamii forums
Naombeni ushauri wenu nimekuwa kwenye uhusiano dada mmoja kwa takribani miaka miwili, sasa na tumezaa mtoto mmoja mwenye miezi tisa sasa.
Kumetokea mizozo na migogoro kwenye uhusiano wetu na kiasi kwamba natamani tuachane. Najaribu kujishusha sana ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.