NANGI NYANDA
Pole sana mkuu. Kuna kila dalili mwanamke wako anachepuka.
pia ushamba unamtesa(ulimbukeni) sana.
My take: kama unampenda na usingependa kumpoteza ukizingatia unataka kumlea mtoto wako kifamilia; Chagua "hardway" usijishushe tena mbele yake. Hope Umeshajaribu softway na hukupata matunda yoyote yenye manufaa mpaka sasa.sanasana hali inazidi kuwa mbaya.
Sasa ni wakati wa wewe kupigania chako. Simama kwa nafasi yako. Amua muda wa yeye kulala, namba zake za simu kagua, mwongoze wewe. Sometimes to get someone you need to try to lose someone.
Kuwa MTU wa amri na maamuzi. Usinong'one bali koroma.
Mara nyingi wanawake ni watu wa kuamrishwa. Ukisubiri ushauri wao hutofika popote. Hasa kwa huyo uliyenaye.
Pia acha kuyatazama maisha kama magumu. Cause sometimes the problem is the concept of perception. Hii itakusaidia kuepuka kuyumbayumba kimisimamo.
Ukisema "No" sema kwa kumaanisha na usibadilike. Be a leader, be a head of a family. Be a final say.
Kama unaona anahitaji makofi ama "nakoz" usisite kumpatia kama kule kwetu Mara but make sure huharibu reception yake.