Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Status
Not open for further replies.
Jamani wale walio na ndugu zao tamisemi tuulizieni huko ajira za waalimu wanatoa lini naona kila mtu anatetesi zake
 
Nimepata tesi kuwa halimashauri zote tutakazopangiwa ni vijijini so tujipange kutimiza ule usemi usemao kilimo kwanza
 
Yani daaah mimi nateseka sana nafanya kazi private tunapelekwa kama nini.

Yani nina mzuka sana OMWAMI
 
Wanafunzi mliohitimu mwaka 2014 next week majina yatatoka ili kujua ulikopangiwa...source nmepiga simu tamisemi.... Hutaki kaa kimya
 
haziwez zikatoka next week....
if zitatoka march bc ni katikat ya mwez as usual ili mwezi wa nne mwanzon kuripot.
na hii ili kuingizwa kwny pay roll ya mwez april.
NOTE ajira zote huwa znatoka katikati ya mwezi
 
maadam pm keshasema ajira zipo zaidi ya 35000 aaa roho yangu mie kwatuuu....cha msingi nipangiwe tu hata km ni kijijini..nitafanya mishe nihamie town
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom