Recent content by nanga chinu

  1. N

    How to graduate with a good grade in school (first class )

    Kazi nzuri. Asante kwa muda wako na maarifa uliotupa
  2. N

    Nampenda mamdenyi na miss chaga

    Miss Chaga na aunt yako Mamdenyi hamjajibu hapaa
  3. N

    Mimi nina masters nataka kuoa Darasa la saba

    Hapo tatizo si elimu ila walitofautiana interest", kila mtu ana interest yake hata wote mkiwa maprofesa. Na kwa ufahamu wangu interest haifundishwi darasani
  4. N

    Mimi nina masters nataka kuoa Darasa la saba

    Kuna kosa umelifanya ila ukijerekebisha mtaishi vizuri. Katika ndoa ili muishi vizuri suala la elimu weka pembeni, ukifika nyumbani mastaz yako iache mlangoni. Ukitoa mifano toa ya kawaida, usianze unajua kuna PHILOSOFA mmoja au kuna PROFESA mmoja hapo ndoa itakuwa ndoana. Pangeni mambo yenu...
  5. N

    If God knows the future (omniscient), can you change your destiny?

    Wanasayansi wapo biased hawaamini ktk mungu. Hivyo basi kuwategemea wao kuleta ukweli itakuwa tunajidanganya. Ila tujiulize hii mifuko ya rambo, magari, piki piki, simu, pc nk hakuna aliyevitengeneza vimetokea tu naturalally, kama yupo aliye vitengeneza basi nasi yupo aliyetutengeneza. Mungu
  6. N

    Rais Kikwete amtimua Waziri Anna Tibaijuka, adai kumuweka Kiporo Prof. Muhongo

    Tibaijuka hastaili kurudisha fedha kwa sababu aliyempa haitaji zirudishwe. Ila amepata aibu mwenzake Werema alisoma alama za nyakati
  7. N

    Jinsi ya kupenda kwa vitendo

    Mh hata inzi akiambiwa nyuki hula asali haamini, anaona nnya ndio mpango mzima
  8. N

    Tumechoka kusemwa humu ndani jamani

    Of coz acheni kuwasesema akina dada. Mtu akiuza papuchii ya kwake kama unaona uchungu uza na wewe, na akitembea uchi wa kwake tatizo nn.
Back
Top Bottom