Mkuu unawezaje kufananisha Moshi na Iringa na hata Morogoro? Hayo magorofa ukienda Moshi mengi yamejengwa hata nje ya mji achilia mbali mjini,nadhani umesahau kua Moshi ni mji wa Kilalii.
Mkuu Pub Alberto ni ya Mzee Chris hii iko tangu miaka ya 90,Msando hahusiki kwa lolote...Huyu Mzee anamiliki restaurant kadhaa Moshi mjini kama Indotaliano,Chagga grill,Moshi club na Hot pot achilia mbali nyumba kadhaa za kisasa/kifahari.
Nasikia kesho mnataka kuandamana kuelekea kwa mkuu wa Mkoa kutafuta huruma kwa wapiga kura eti mnaonewa,ulimbukeni wenu wa kuleta mabonsa wa kushusha bendera za UKAWA Moshi mjini zimeshawa cost tayari,Mmefanya kampeni ni vita na kupiga vijana wasio na hatia sababu tu hawakubaliani na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.