Kwa matendo haya ambayotulikuwa tukiyasikia nchi nyingine, leo hii yamehamia Tanzania, from the bottom of my heart I say, I hate my country Tanzania, tumepata uongozi wa kipuuzi usio kuwa na maana.
Alaaniwe huyo kiongozi aliejimilikisha Tanzania yetu, MWL.Nyerere alipigania nchi hii kwa misingi ya haki,upendo na mshikamano, leo hii nchi hii inaharibiwa na watu wasiokuwa na hata chembe za SIFA za kuwa hata viongozi wa nyumba kumi.
Askari wamekuwa kama wahuni wa kulinda masirahi ya mtu mmoja, MWL Nyerere alikuwa Rais lakini hakulindwa kwa uzandiki na kishabiki namna hii, leo hii SIFA njema ya Tanzania inazidi kuharibika, huku tuliko ughaibuni tumeanza kusemwa vibaya na hata viichi vya hovyo, visivyokuwa na amani miaka nenda ludi, navyo kwa sasa vinajiona viko vizuri zaidi ya Tanzania.
Viongozi wanaipeleka wapi nchi yetu, watu wake hawanaga ugomvi na mtu, but leo imekuwa RAIA anatembelea watu tu kwa nia njema anafuatwa na silaha kama haini ndani ya nchi yake?
Hayo mambo yalikuwa nchi za Uganda,Rwanda, Burundi, na Congo leo hii yamefika nchini kwetu, askari wetu sio chombo cha wananchi tena kama Baba wa taifa alivyokuwa akitueleza siku zote leo jeshi la Polisi limekuwa Mali ya chama cha mapinduzi jamani uongozi huu unalipeleka wapi taifa?
Na ukiona kiongozi anajilinda kwa mtutu wa bunduki kwa kutumia nguvu ya majeshi kamwe huyo sio kiongozi aliyetokana na imani ya wananchi bari kasimikwa na dola, Nyerere alisimikwa na wananchi hakulindwa kiasi hicho na alikuwa kipenzi cha watu wake japo walikuwa masikini, Mwinyi pia, Mkapa na Jakaya hawakulindwa kiasi hicho.
Leo hii majeshi yetu yanajitokeza kwenye matukio ya kuwalinda maboss wao( watawala) but sio kuwalinda wananchi wote kwa usawa na ujumla wao, maafa yametokea Kagera majeshi yetu yamejifungia hadi jeshi la nchi ya jirani linaguswa na tukio majeshi yetu ya wananchi wa Tanzania hayana habari, yanasubilia upinzani ujitokeze na wao waanze kutia watu hofu na siraha nzito bila sababu za msingi, kwenye tukio la maafa hawaonekani na hata hayo maelekezo kutoka juu hayapo, but akionekana Mbowe, Mbatia, Lowassa, Seifu, ndo unayasikia matamko na maelekezo kutoka juu.
Ni aibu ya watanzania wote, huu uongozi unahalibu haiba ya nchi yetu, na mm sitoludi Tanzania tena hadi hili ombwe la uongozi litakapo isha, Mungu aisaidie nchi yangu Tanzania.