Magufuli hakufika kwenye majimbo Matano tu!

Magufuli hakufika kwenye majimbo Matano tu!

Acha kutumia jina lenye maana maana huna iyo maana ya ilo jina

Mwenzako amesema amatembelea huko hatopata kitu wewe unasema yaliyo kwenye masaburi yako

Elimu elimu elimu

Kila kona mnasambaza mabox ya kura mbaya zaidi yanadakwa

Kura zitapigwa vipi kama mabox ya kura hayasambazwi?
 
Kura ambazo tayari zimemchagua makomeo

Mimi nataka lowasa ashinde ili kikwete atemeshwe mali alizoiba
Wapi huko kura zilizopigwa zimekamatwa?

Mimi nataka Magufuli ashinde mafisadi yote yatemeshwe mali walizokwapua
 
Wapi huko kura zilizopigwa zimekamatwa?

Mimi nataka Magufuli ashinde mafisadi yote yatemeshwe mali walizokwapua

Nani msafi aliyeko CCM? Ataanza kujitemesha yeye mwenyewe zile nyumba zilizojengwa kwa jasho la Watanzania alizojimilikisha?
 
Wapi huko kura zilizopigwa zimekamatwa?

Mimi nataka Magufuli ashinde mafisadi yote yatemeshwe mali walizokwapua


Makomeo hana uwezo huo

Na ukitaka kujua idadi ya wajinga Tanzania angalia idaidi ya kura za fisiemu ndo idadi ya wajinga Wa hiyo nchi

Mimi nipo cape Town lakini napata habari zote kabla ya wewe uliye hapo zombie land ungejua ujinga wanaofanyaga makada Wa ccm wanapokua nje ya nchi sijui ungefanyaje



Kura zimekamatwa mwanza Gari zimechomwa madereve wamepigwa wengine wametiwa madole sana ya kwenye masaburi yao
 

Attachments

  • 1445740394667.jpg
    1445740394667.jpg
    28.4 KB · Views: 177
TINGA TINGA Limeomba radhi kwa kushindwa kufika kwenye majimbo matano tu na ameahidi kuyatembelea mara baada ya kuapishwa.

Hakuna mgombea anayeweza kuisogelea rekodi hii ya Magufuli.

Ndio Rais wetu, mm sinaga hofu kabisa nasubir sherehe za kuapishwa kwake tu
 
nickname 23:10 Today
Vijana, acheni ushabiki wa vyama..kuwa mzalendo
kwa nchi yako..piga kura ya mabadiliko ya
kweli.Tumchague Dr. John Pombe Magufuli kwa
maendeleo ya kweli ya Tanzania

Nani amekudanganya kuwa maendeleo yataletwa na Magufuli mikono yako ndo itakuondolea umaskini
 
Vijana, acheni ushabiki wa vyama..kuwa mzalendo kwa nchi yako..piga kura ya mabadiliko ya kweli.Tumchague Dr. John Pombe Magufuli kwa maendeleo ya kweli ya Tanzania
Kwanini usiende kumuelimisha mama yako ampigie kura huyo pombe wako!?
 
Huyu baba ni muongo sijawahi kuona hata urais wake sijui utakuwaje kama bahati mbaya akichaguliwa (Mungu epushia mbali). Morogoro peje yake hakutembelea majimbo matatu ninayoyajua.
Morogoro kusini
Morogoro kusini mashariki
Morogoro kusini magharibi
Hayo ni y?le ninayoyajua tena mkoa mmoja tu.
Kuna kiteto pia hakufika
 
Back
Top Bottom