Ayse hii kali, mimi siku zote nilifikiria zile mbwembwe za St.Augustine ilikuwa ni degree inayohusika, kumbe napo ilikuwa ni certificate tu, mhhh, ni kweli mzee connection ya background yake inashindwa kuunganishwa na kuchukua masters.
Wana jamii forums nimesoma kwenye gazeti la IPP la tarehe 6 July, na kuna maelezo kuwa Unesco wamekubali kuachia kilomita 200 za mraba katika mbuga ya Selous kwa ajili ya uchimbaji wa uranium, kinachonishangaza ni baadhi wa wahusika katika kujenga nchi hii kufurahia na kuona ni hatua ya kuongeza...
Mimi natatizika na huyu Manji bado kujiingiza kwenye timu ambayo haishi migogoro, kwanini Manji asitafute timu anunue na iwe ya kwake, kuliko kujilazimisha hapo hapo Yanga, au na yeye anatumia migogoro ili imtoe kitu ambacho sikioni kwani ameshatoka, nado sipati picha kamili ya Manji...
Sasa hawa watoto kuwatoa shule kwa ajili ya siasa hivi kweli ni ubinadamu au ilikuwa jumapili?, hawa wanajua kitu kinachoendelea kweli??!! Hivi hawa watoto wanajua maana halisi ya UFISADI ??!? , hivi hawa watoto wanaweza KUPIGA KURA 2015?!!?? hivi hawa watoto wanajua kuwa mashamba makubwa...
Sasa hawa watoto kuwatoa shule kwa ajili ya siasa hivi kweli ni ubinadamu au ilikuwa jumapili?, hawa wanajua kitu kinachoendelea kweli??!! Hivi hawa watoto wanajua maana halisi ya UFISADI ??!? , hivi hawa watoto wanaweza KUPIGA KURA 2015?!!?? hivi hawa watoto wanajua kuwa mashamba makubwa...
Sasa hawa watoto kuwatoa shule kwa ajili ya siasa hivi kweli ni ubinadamu au ilikuwa jumapili?, hawa wanajua kitu kinachoendelea kweli??!! Hivi hawa watoto wanajua maana halisi ya UFISADI ??!? , hivi hawa watoto wanaweza KUPIGA KURA 2015?!!?? hivi hawa watoto wanajua kuwa mashamba makubwa...
Ninachokupendea Nape una nguvu ya ziada ya kukomaa kwenye siasa yetu ya Tanzania huo ndiyo uana siasa makini tunaouhitaji nchini mwetu, kwani umekuwa mstari wa mbele kutetea chama chetu cha mapinduzi, kweli moyo unao na nakupendea sana kwa hilo, lakini upande mwengine wa shilingi naamini huna...
Hakuna suala la angle, kwani kama angle ikiwa nzuri inamlinda, basi ujue kubadilisha angle siyo kisingizio, amefumuka na kupoteza uzuri aliokuwa nao, ingawa wazee wetu wanapenda unene au ni ile ya kiafrika kuwa unene ndiyo mambo mazuri, Nakaaya rudi nyuma na ubadilike, bado unayo nafasi ya...
Tatizo letu watanzania ( samahani kwa kujumuisha Watanzania haina maana hiyo sana) hatujui thamani ya kitu chochote ambacho tuna haki nacho ya kujivunia, lugha tatizo mojawapo, Madini ni kama tunayagawa kwa kusingizia wawekezaji, uvuvi ni zero zaidi ya ngwanda za pale ferry, mbuga ukipitia kenya...
Huyu jamaa anajikanganya, halafu mimi nilidhani SMG ni bunduki ya kivita, pia vipi anajaribu kusema bunduki ni mtaji hiyo yenyewe inatosha kusema kuwa ana promote ujambazi. Huyu jamaa hawezi kujiuzulu wala kuachishwa kwani umesikia wapi viongozi wa Tanzania wanatumia style ya kujiuzulu. Huyu...
Mimi sijafahamu yeye kama Naibu Waziri kutembea na bastola na SMG, achilia mbali hizo pete za Almasi, na zile hela zote taslimu. Nilitegemea angekuwa pia anatumia kadi za benki kutolea hela pale anapohitaji, lakini sipati picha ya mtu kuhitaji hela zote hizo kwa siku moja. Ni maoni tu.
Hakuna chochote getini zaidi ya kuwa ikulu ina nguvu ya nchi nzima, ni rahisi unapoitwa pale na Rais kuongelea hoja husika, kuweza kulegeza msimamo, isitoshe kuitwa ikulu kwa maana yangu naona ni heshima ya pekee ambayo mwananchi anaweza kuipata, kwahiyo ulegevu unakuwa mwepesi zaidi kuliko huko...
Pasco,
Nimependa kuona kuwa unathamini uhai wa madaktari lakini wana siasa hawathamini, na wao wanategemea kuchukua mteremko wa kutotimiza maombi au matakwa ya msingi ya madaktari kwa sababu wanajua hawawezi kuacha watu wafe, kwahiyo naamini madaktari wameamua kutumia silaha ya mwisho ya kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.