Safari_ni_Safari JF-Expert Member Oct 5, 2007 23,268 17,097 Jul 13, 2012 #3 Duh......naomba aonane na mimi nimlipie kiwi ya mwaka mzima!
SMU JF-Expert Member Feb 14, 2008 9,616 7,863 Jul 13, 2012 #8 Haka ka Joshua kanaonekana kachokozi sana, hebu chekini kalivyo weka alama mbele ya hilo lijamaa likubwa (nasikia linajiita "big show":bump2::bump2
Haka ka Joshua kanaonekana kachokozi sana, hebu chekini kalivyo weka alama mbele ya hilo lijamaa likubwa (nasikia linajiita "big show":bump2::bump2
N namimih Member Jan 4, 2012 64 20 Jul 13, 2012 #9 Safari_ni_Safari said: Duh......naomba aonane na mimi nimlipie kiwi ya mwaka mzima! Click to expand... Yeah ningependa pia ungemlipia gym na yule kaka pale nyuma na kile kitambi, unafahamu kuwa ni askari yule, napita tu.
Safari_ni_Safari said: Duh......naomba aonane na mimi nimlipie kiwi ya mwaka mzima! Click to expand... Yeah ningependa pia ungemlipia gym na yule kaka pale nyuma na kile kitambi, unafahamu kuwa ni askari yule, napita tu.
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Oct 5, 2007 23,268 17,097 Jul 13, 2012 #10 namimih said: Yeah ningependa pia ungemlipia gym na yule kaka pale nyuma na kile kitambi, unafahamu kuwa ni askari yule, napita tu. Click to expand... Huo mwili wa ubishi tu......kwa mavumbi ya viatu lazima angeshakonda kwa kusaga lami
namimih said: Yeah ningependa pia ungemlipia gym na yule kaka pale nyuma na kile kitambi, unafahamu kuwa ni askari yule, napita tu. Click to expand... Huo mwili wa ubishi tu......kwa mavumbi ya viatu lazima angeshakonda kwa kusaga lami
nyabhingi JF-Expert Member Oct 12, 2010 15,513 19,998 Jul 13, 2012 #11 tutamjadili kwenye vikao vya chama,hatutamwogopa baba yake