Recent content by nalimwengu

  1. nalimwengu

    Mwekezaji asema Vijana wa Singida ni Wavivu inamlazimu akachukue vijana wa Mwanza

    Hii naikubali kabisa. Nikimuangalio huyu kijana anaitwa sufiani huko Twitter kawa kweli sielewi anafanya kazi saa ngapi. Muda wote ni kusifia na kusimama tuu.
  2. nalimwengu

    Makamba: Itachukua misimu miwili ya mvua kujaza Bwawa la Nyerere

    Hawa watu bwana. Si walisema bwawa likijaa litakuwa na uwezo wa kuzalisha umeme miaka mitatu mfululizo hata ikitokea ukame? Sasa naona no Kampala tuu. wanajipigia pasi tuu za madeal yao. Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
  3. nalimwengu

    Nape: Bando ni huduma ya ziada, ukitaka lisiishe tumia salio la kawaida. Mbunge ataka liwe kisheria

    Kuna mtu kasema huko Twitter kwamba jamaa anavuta kamrabaha fulani kutoka kwa haya makampuni. Sasa naelewa kwa nini anashindwa kuwa upande wa wananchi na anawajibia hawa wawekezaji. Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
  4. nalimwengu

    Daniel Chongolo awa Katibu Mkuu CCM

    Wewe nae unapinga tuu bila hoja. Uliitaka hiyo nafasi?
  5. nalimwengu

    Kigwangalla na hatma ya jamii ya kimasai washio ndani ya mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro

    Sasa ongezeko la wamasai kutoka 8000 mpaka zaidi ya 90000 huoni impact yake kwenye uhifadhi? Leo ndani ya crater kuna mto umekauka kwa sababu ya hii water competition kati ya wao, mifugo na wanyama pori. Mi nadhani waondolewe tuu kwani madhara ni makubwa.
  6. nalimwengu

    Shairi: Arusha jiji letu

    Tukitengwa twajipenda, pamoja twasimama. Tabasam likitanda, tazama utasema. Sababu tutakwenda, ni wote si kichama. Arusha jiji letu, .....
  7. nalimwengu

    Je, mwanamke anayekataa simu yake isiguswe na mumewe ni muhuni?

    Kama Mkeo anakufanyia hivyo jipangeni. Nilishtukia na Ndoa ya kikatoliki ikafa. Nimeanza upya
  8. nalimwengu

    CIA akiri kumuua Bob Marley akiwa hoi kitandani

    Rudia kusoma labda utabahatika kuelewa.....
  9. nalimwengu

    There is more to life than sex

    Well said mkuu.
  10. nalimwengu

    Will Smith in Masai Mara

    Basi poa Kama mlima Kilimanjaro. Majizi tu 254
  11. nalimwengu

    Kampuni Binafsi ya Upelelezi Ya kwanza kutokea Africa

    Naomba muanze kupeleleza vyeti vya kina flani ili muanze kujijengea cv.
  12. nalimwengu

    Spanish speaking people

    De nada. Diganos.
  13. nalimwengu

    Fikiria ni mkeo halafu unachepuka, nadhani jibu unalo...!

    Kamalade ya monzela motema nayo sanduku
Back
Top Bottom