Recent content by Nakfa

  1. Nakfa

    Habari njema kwa wapiga nyeto! Utafiti mpya wa Chuo cha Oxford wabainisha umuhimu wa nyeto

    Nyeto haitetewi inajitetea hapa nataka niue kimoja kwanza
  2. Nakfa

    Habari njema kwa wapiga nyeto! Utafiti mpya wa Chuo cha Oxford wabainisha umuhimu wa nyeto

    Yani nashangaa sana Wanamjaza magesi nini huyu
  3. Nakfa

    KERO Wakulima wa Mpunga Kilosa tunateseka na Mashamba, wakati wa mavuno Halmashauri wanakuja na ushuru unaotuumiza

    Ngoja nitoe maoni kistaarabu kabisa. Yani shamba langu, mbegu nimehangaika kuzipata mwenyewe, nimehangaika kuembeka mwenyewe na kulipa watu mvua na jua vimetushona Barabara mbovu ya matope, maisha ya kilosa ni magumu kuliko hata Masasi, hospital hazina dawa nikiugua tunaenda kununua dawa na...
  4. Nakfa

    Habari njema kwa wapiga nyeto! Utafiti mpya wa Chuo cha Oxford wabainisha umuhimu wa nyeto

    Ona hii ng'ombe ya Meatu yani shahawa zangu kazi yake ni kurutubisha seli za mwanamke tu? Wewe wanakupuliza eeeh?
  5. Nakfa

    Full TIME | Tanzania 0-1 Liechtenstein | International Friendly | Kigali Pelé Stadium

    Timu ya mama imekandwa na wakandwe tena
  6. Nakfa

    Habari njema kwa wapiga nyeto! Utafiti mpya wa Chuo cha Oxford wabainisha umuhimu wa nyeto

    Hatutaki ***** watu tuna miaka 20 kwenye game mtoto mdogo wewe utatuambia nini
  7. Nakfa

    KERO Kero yangu ni usafiri katika Halmashauri ya Mafia, huduma ni mbovu na kuna mazingira ya Rushwa

    Wewe nahisi upo TAMISEMI tena muuguzi wewe 🤣🤣🤣🤣 Mafia bora uache kazi unaendaje huko ukimbizini
  8. Nakfa

    Hivi hakuna namna rahisi ya kujua Code ya mtandao wa simu kwa haraka?

    Nyingi hazijawekwa mfano Airtel ana 066 saivi yani mfulufulu mfululo ni voda tu code zake zina 07 hana 06
  9. Nakfa

    Mapenzi ni umasikini mtupu?

    Shetani mbona unatuelekeza vizuri binadamu SHETANI GANI WEWE
  10. Nakfa

    Imekuwaje mpaka PSG ameruhusiwa kutengeneza timu iliyokamilika namna hii?

    Chelsea hamna timu pale, kashapelekewa Liverpool
  11. Nakfa

    Hivi hakuna namna rahisi ya kujua Code ya mtandao wa simu kwa haraka?

    Voda wana code nyepesi 074, 075, 079 hana zingine kwa sasa Halotel, Yas na Airtel wanashabiliana maana wote wana 06.... hii voda hana
  12. Nakfa

    KERO Barabara ya Chalinze kwa Mwarabu hadi TALAWANDA SEKONDARI hali ni mbaya, Daraja la Mbiki linatumaliza

    Mtu na akili zako timamu unaishije kwa Mbiki? Serikali kwa kifupi haiwezi kuleta maendeleo yoyote Kibaha mfateni Mfinanga akawasaidie
  13. Nakfa

    Waislamu duniani wawacharukia viongozi wa falme za kiarabu baada ya kuonekana kutokuzingatia mfungo wa Ramadhan

    Ndio kwa sababu ni amri na ina baraka zake. Alafu mbona unajina la mtume Paulo kuwatetea kina abdul umeanza lini? Na jambo la uzee lifikirie kwenye mijadala tutakutukana wakati umri wako ni mkubwa utupe laana
Back
Top Bottom