Recent content by Nakfa

  1. Nakfa

    JamiiForums Tanzania Albert Einstein amepoteza tiketi kwenye treni

    Ngoja akusikie
  2. Nakfa

    JamiiForums Tanzania Miaka 20 ya JF: Tuanzishe MaJukwaa Mapya 10 Yenye Impact Kutatua Changamoto za Wana JF na Jamii?. Wana JF Wenye Uwezo Tuwasaidie Wenzetu Nao WaWin au?

    Yani wewe una miaka 23 sasa? Sasa Paskali si babu yako mimi ni baba yako
  3. Nakfa

    JamiiForums Tanzania Albert Einstein amepoteza tiketi kwenye treni

    😂😂😂😂😂
  4. Nakfa

    JamiiForums Tanzania Nafikiria kurudi kijijini kabisaaa, karibu na makaburi ya ukoo

    Huu ni mshahara wa Mwalimu wa Certificate na anatamba nao, ni mshahara wa constable wa Polisi na anatamba nao na ana wanawake au wanaume 60
  5. Nakfa

    JamiiForums Tanzania Funguo yaendeleza jitihada za kukuza ubunifu unaoongozwa na Vijana wa Vyuo Vikuu

    Hakika ndugu mapengo
  6. Nakfa

    JamiiForums Tanzania Nimeenda kukodi ambulance nikaambiwa hakuna utaratibu huo

    Jipya kwako hospital za Botswana wako mbele ya muda
  7. Nakfa

    JamiiForums Tanzania Mapiduzi ya usafiri: Pikipiki za umeme(RAVOX). Je, ni suluisho la gharama za mafuta?

    Hiki kinabeba mtu mmoja tu? Na design ni hiyo moja tu? Nataka ambacho hakionyeshi mavyuma vyuma hivyo
  8. Nakfa

    JamiiForums Tanzania Roho Mbaya na Wivu wa Majirani: Kisa cha mtoto aliyetambaa hadi ndani ya gari Arusha kitufundishe umuhimu wa CCTV

    Kuzungukwa na masikini uwaki sana napiga shaba wote
  9. Nakfa

    JamiiForums Tanzania Hakikisha mwenye nyumba anakupa funguo zote. Nimemkuta ndani kwangu, ameingia bila ridhaa yangu

    Yani unipangishe kijumba chako alafu ukijisikia kuja kukagua uje uje tu? Hata kama ulinipa Makataba nakuromba nakwambia wallah tena
  10. Nakfa

    JamiiForums Tanzania Hakikisha mwenye nyumba anakupa funguo zote. Nimemkuta ndani kwangu, ameingia bila ridhaa yangu

    Yani we jamaa, kwamba nyumba ni yako umeshapangisha sio yako tena kwa kipindi chote cha mpangaji unawashwa nini kwenda kutazama kwa mpangaji kama si UMASIKINI WA KUJITAMBUA? Mwache hata aibonde yote, wala usitake jua lolote afanyalo siku anakutaarifu anahama ndio tembelea ujionee. Tuna...
  11. Nakfa

    JamiiForums Tanzania Hakikisha mwenye nyumba anakupa funguo zote. Nimemkuta ndani kwangu, ameingia bila ridhaa yangu

    Kwa vijumba vyenu mnavyojenga maeneo mnayo madoooogo unadhani hilo linawezekana? Acha assumptions pangisha watu kwa uhuru wacha wakae watakavyo hata wakiharibu kuta zote waache siku ya kuhama banana nao
  12. Nakfa

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Kwamba wanaripoti kwa mkuu wa magereza Tanzania 😆😆
  13. Nakfa

    JamiiForums Tanzania Jezi mpya kwa timu mbalimbali kwa msimu ujao 2026/2027

    Hawa na PSG wana matatizo sana mijezi hiyohiyo miaka nenda rudi
Back
Top Bottom