Yani we jamaa, kwamba nyumba ni yako umeshapangisha sio yako tena kwa kipindi chote cha mpangaji unawashwa nini kwenda kutazama kwa mpangaji kama si UMASIKINI WA KUJITAMBUA?
Mwache hata aibonde yote, wala usitake jua lolote afanyalo siku anakutaarifu anahama ndio tembelea ujionee.
Tuna...
Kwa vijumba vyenu mnavyojenga maeneo mnayo madoooogo unadhani hilo linawezekana?
Acha assumptions pangisha watu kwa uhuru wacha wakae watakavyo hata wakiharibu kuta zote waache siku ya kuhama banana nao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.