Ni swala la MDA tuu Hilo waliloagizwa lazima walitimize tena wanavyolizungumza kila wakati ndio wanalipa nguvu na promo ya kutosha na kitu kikishazoeleka kusikika mara Kwa mara masikioni Mwa watu kwenye kutenda huwaga ni rahisi mnoo,,litakujaonekana ni swala la kawaida tuu na hawa ndio...
Bado wanaendelea kutupigia kelele wakati wanajua fikra Hilo agizo watakuja litimiza taka wasitake waache kutuchora hawa Binadamu wenzetu wanaojiona watakatifu!!
Yaani uamue mwenyewe kuingia kwenye ndoa alafu madini tukupe Sisi ya kumpata anaekufaa??Broo umedata au??alafu sio kitu kwa ajili ya kila MTU wewe ndoa sio fungu lako na wala si dhambi Fanya mambo mengine
Umenikumbusha limshangazi langu,,Madam Rehema ni litamuu balaa Yuko mbali lakini Nashukuru kila tukibahatika kukutana ni patashika nguo kuchanika nafikiri kuachana Kifo ndio kitatungenisha ingawa kila mmoja na maisha yake na ubavu wake!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.