Recent content by NAHAL

  1. NAHAL

    Wafanyakazi WATATU waliopo DAR (vijana smart) Wanahitajika HARAKA iwezekanavyo..

    Umeshakata yako ya udalali hapo kama makampuni ya ulinzi
  2. NAHAL

    Ujumbe wa Askofu Niwemugizi Krismasi ya 2023: Muhtasari, maswali na tafakari

    Ni swala la MDA tuu Hilo waliloagizwa lazima walitimize tena wanavyolizungumza kila wakati ndio wanalipa nguvu na promo ya kutosha na kitu kikishazoeleka kusikika mara Kwa mara masikioni Mwa watu kwenye kutenda huwaga ni rahisi mnoo,,litakujaonekana ni swala la kawaida tuu na hawa ndio...
  3. NAHAL

    Kwanini Mwamposa anapondwa na wengi? Au mti wenye matunda ndo hupigwa mawe?

    Kwani Ruwaichi yeye alishaenda huko kutenda hayo??
  4. NAHAL

    Ujumbe wa Askofu Niwemugizi Krismasi ya 2023: Muhtasari, maswali na tafakari

    Bado wanaendelea kutupigia kelele wakati wanajua fikra Hilo agizo watakuja litimiza taka wasitake waache kutuchora hawa Binadamu wenzetu wanaojiona watakatifu!!
  5. NAHAL

    Utekelezaji wa Amri hii ya Jaffo kuhusu kusitisha matumizi ya mkaa itaanza lini?

    Ndio Washauri wa Mamdenyi hawa kama nchi kazi tunayo!!
  6. NAHAL

    Iran yasogeza Meli zake za vita Bahari Nyekundu!

    Wameshiba Acha wapigane haswaa!!
  7. NAHAL

    Mbona takwimu za Mcolombia wa Azam zinatia uvivu?

    Alileta poda huyo Kwa kigezo cha mpira a.k.a Punda!!!
  8. NAHAL

    Anataka kumleta ndugu yake wakati anajua tunaishi kwenye chumba kimoja na pia anaongea na mwanaume mwingine saa nne usiku

    Dogo unamamavi,,jiandae uende misa ya Mkesha Saa Tatu Usiku,,utubu na mweleze mchungaji/padri hayo matatizo yako sawa!!
  9. NAHAL

    Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

    Na ndio Raha na karhaa za ulimwengu na walimwengu,,hongereni Kwa kuwa pamoja,, hongereni Kwa kuachana pia maisha yaendelee!!
  10. NAHAL

    Joto kali sana mjini

    Kakazianeni bafuni!!
  11. NAHAL

    Sasa nahitaji ndoa kuliko kitu kingine chochote. Siwezi tena kusubiri

    Yaani uamue mwenyewe kuingia kwenye ndoa alafu madini tukupe Sisi ya kumpata anaekufaa??Broo umedata au??alafu sio kitu kwa ajili ya kila MTU wewe ndoa sio fungu lako na wala si dhambi Fanya mambo mengine
  12. NAHAL

    Wajue waimba gospel wa kike ambao wamevunja ndoa zao baada ya kuwa maarufu

    Hakuna wakwenda Si Mimi,,Wewe wala bulldozza Mzee wa upako!!!
  13. NAHAL

    Wajue waimba gospel wa kike ambao wamevunja ndoa zao baada ya kuwa maarufu

    Umenikumbusha limshangazi langu,,Madam Rehema ni litamuu balaa Yuko mbali lakini Nashukuru kila tukibahatika kukutana ni patashika nguo kuchanika nafikiri kuachana Kifo ndio kitatungenisha ingawa kila mmoja na maisha yake na ubavu wake!!
Back
Top Bottom