Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,734
- 6,292
1. Hiyo Cortulua ipo ligi daraja la pili.
2. Cortulua walimsajili 2023 kutoka timu nyingine ya daraja la pili
3. Ameingia kwenyw mechi 10 tu mwaka 2023 na amefunga goli 1😎
4. 2022 amecheza mechi moja na Calabobo, No goal
5. 2021 amecheza mechi 22 na R.Cartagena , akapata Goli 8
6. 2020 alicheza mechi 4 na Lianeros akafunga Goli 1
7. 2019 mechi 5 na Leones , Goli moja
8. 2017-2018 hakucheza kabisa.
9. Tangu 2016 Jumla ana mechi 43 na Goli 12
10. Hajawahi kuitwa timu ya taifa hata za Vijana hata kwa mwchi ya kirafiki
8. 2016-2021 alicheza mechi 7 za Kombe la wachezaji wa akiba alipata goli 6.
10. 2020 alitolewa kwa mkopo na Leones kwenda Leaneros na baadaye akachwa. Akaingia Cartagena kama mchezaji huru na akaachwa mwisho wa msimu.,
11 Akaenda Cartagena kama mchezaji huru nao wakamuacha mwisho wa msimu.
12. Calabobo wakamchukua 2022 kama mch huru pia nao wakamuacha. Ndipo alipochukuliwa na Cortulua kwa mwaka, Ndo Azam wakaingia hapo.
13. Thamani yake sokoni ni kama Paundi 100,000/=
Hizo ndizo nimezipata. Wengine mniongezee nyama. 😀😂
2. Cortulua walimsajili 2023 kutoka timu nyingine ya daraja la pili
3. Ameingia kwenyw mechi 10 tu mwaka 2023 na amefunga goli 1😎
4. 2022 amecheza mechi moja na Calabobo, No goal
5. 2021 amecheza mechi 22 na R.Cartagena , akapata Goli 8
6. 2020 alicheza mechi 4 na Lianeros akafunga Goli 1
7. 2019 mechi 5 na Leones , Goli moja
8. 2017-2018 hakucheza kabisa.
9. Tangu 2016 Jumla ana mechi 43 na Goli 12
10. Hajawahi kuitwa timu ya taifa hata za Vijana hata kwa mwchi ya kirafiki
8. 2016-2021 alicheza mechi 7 za Kombe la wachezaji wa akiba alipata goli 6.
10. 2020 alitolewa kwa mkopo na Leones kwenda Leaneros na baadaye akachwa. Akaingia Cartagena kama mchezaji huru na akaachwa mwisho wa msimu.,
11 Akaenda Cartagena kama mchezaji huru nao wakamuacha mwisho wa msimu.
12. Calabobo wakamchukua 2022 kama mch huru pia nao wakamuacha. Ndipo alipochukuliwa na Cortulua kwa mwaka, Ndo Azam wakaingia hapo.
13. Thamani yake sokoni ni kama Paundi 100,000/=
Hizo ndizo nimezipata. Wengine mniongezee nyama. 😀😂