Recent content by NAAMINI

  1. NAAMINI

    Kwa wale waliosoma Seminari za Katoliki

    T.Y.K. Nimewakumbuka Sana Ndugu Zangu!! Nilikuwa Jangwani Kipindu chote hiki na mamonaki wengine nikitafakari Makuu ya Mungu!!! Nimerejea Tena Ndani Ya Jamii Forum
  2. NAAMINI

    GE2020 Magufuli akishinda tena Urais mimi nahama Nchi

    Tunaomba utekeleze hili
  3. NAAMINI

    GE2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo Wapinga Matokeo, Wataka Uchaguzi Urudiwe, pia NEC na ZEC zivunjwe

    Pale Mbeya sugu alikuwa karidhika hata kipindi cha kampeni yy akawa anakula bata tu wakati dada anakomaa kutafuta kura, kapigwa kata funua mnalalama nyuma ya keyboard ha ha ha!!!!
  4. NAAMINI

    GE2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo Wapinga Matokeo, Wataka Uchaguzi Urudiwe, pia NEC na ZEC zivunjwe

    Hii itakuwa series ya 24, sasa unaleta movie bwege wewe
  5. NAAMINI

    Mzumbe ya Mbeya na Mzumbe ya Morogoro zina utofauti gani?

    kazi ya kichwa si kufuga nywele tu....Siku nyingine shirikisha na ubongo
  6. NAAMINI

    GE2020 Kuelekelea Uchaguzi mkuu 2020: Tupe tetesi na maoni yako, unapendekeza nani agombee wapi na nafasi gani?

    Habarini Wanajukwaa, Mbunge wa Mbinga Vijijini Ndung Martin Msuha kwasasa yupo katika hatari kubwa ya kupoteza jimbo hilo la Mbinga vijijini, Mnyetishaji aliepo Mbinga vijijini ameeleza kuwa Tangu aingie ndugu msuha hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kwenda bungeni na kupumzika hata pale...
  7. NAAMINI

    VACANCY AFTER OTEAS APRIL 2019

    Ungeandika tukiswahili mwalimu mwenzangu.....hii lugha si yako.
  8. NAAMINI

    Kuitwa kwenye usaili walioomba nafasi za kazi TRA - 2019

    MZEE BABA HUU MZIGO KUNA NAFASI HAWAJATOA AU WATATOA TENA... MFANO ASSISTANT CUSTOM AND ASSISTANT TAX ALAFU MAJINA YAMERUDIWA ANGALIA ATTACHMENT MBILI HIZO UKITOA YA ZENJI.
  9. NAAMINI

    Ukweli ni kitu gani?

    Kama Ilivyo Comment yako hii....
  10. NAAMINI

    Kuhusu post za TPA

    mimi sinaga utani na madogo na ninachokueleza ndo icho...madogo mnapambana sana sasa usilale soma NIPO HAPA UTUMISHI KATIKA COMPUTER NAYAONA MAJINA YENU
  11. NAAMINI

    Kuhusu post za TPA

    Dogo unashangaa miatatu wakati post ya customer services mmeomba watu 1079 nayaona hapa majina na idadi yenu.
  12. NAAMINI

    RE: Application for a job of information technology

    Dunia ina maajabu mengi sana....Hii lugha mbovu sana...huyu dogo jamii ya mdananda......
  13. NAAMINI

    Msaada wa muundo wa Interview za TIC

    kwamba unaupendo hivyo kwa rafiki yako ha ha ha ha jombaaa ukisema wewe mwenyewe utakuwa umepungukliwa na nini??? sometimes mnajikosesha bahati sababu ya kujificha vivuri ambavyo si vyenu mana mwingine hatokupa hizo ABC sababu sio we muhusika atataka rafiki akoi aseme kumbe wewe ndo...
  14. NAAMINI

    Uhusiano wa ajira za ualimu Vyuo Vikuu, TCU na GPA za SUA

    mkuu pole sana natambua maumivu upitiayo hasa unapokutana na meseji za madogo
Back
Top Bottom