Uchaguzi 2020 Magufuli akishinda tena Urais mimi nahama Nchi

Nipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais

Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.

Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.

Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.

Hali itakuwa tete sana!

kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.

Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.
Hama kuanzia sasa!
 
Nakereka nikiona kijana anaishabikia CCM..Tena Kama nnakumudu ndo kabisa! On a serious note unanikera balaa
Kumbuka tu huu ni wakati wa kuvumiliana mkuu, hatuwezi kufanana kiitikadi wala mapenzi. Binafsi sio shabiki wala mfia CCM, ilà I like Magu, napenda siasa zake. Pole kwa kuumia ilà acha kunilamba "dislike", sio poa kabisa.
 
Nipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais

Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine.

Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini.

Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama kiuchumi,kisiasa na kibiashara.

Hali itakuwa tete sana!

kutakuwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi.

Naomba vijana niliokuwa nimewaajiri kwenye mishemishe zangu mnisamehe kama Magufuli atachaguliwa tena kuwa Rais kwa miaka mingine 5.
Mkuu anza kutembea kuelekea mpakani kabisaaa!
 
Huyu atakuwa kashavuka boda tangu tarehe 29..
Nipo hapa paris,.ukifika mitaa hii ntumie sms bro
 
Back
Top Bottom