Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,402
- 7,567
Wasiwe na wasiwasi uchaguzi utarudiwa 2025.
Swali la kujiuliza ni hili " mnamtoa huyo mkoloni mkitokea wapi? " inawezekana kabisa mnatumwa kuingiza uongozi usio wetu....Mapambano yanendelea ya kumtoa mkoloni mweusi Ccm
duh!!Niaje niaje?
Moja Kwa moja kwenye mada kuu, napenda kuwapongeza WATANZANIA wenzangu Kwa kuwa wazalendo kabisa. Bila shaka ninyi ni mashujaa na wa kweli kabisa katika maisha ya kawaida ndio, lazima tuseme ukweli panapohitajika uwezi kupata ubunge ukalipwa posho zako ukasahau walio kupigania uupate, hii ni dharau. Kira siku ni kujipost tu uko mtandaoni mkijidai na kujitapa kama ninyi ni matajiri wakubwa mnashinda kuvaa gold kwenda kwenye mahotel makubwa na familia mkijiona Bora kabisa ndio....
China wapo nyuma yakeAkamatwe? This will never happen. Hao watu wanaongea tu. Zero action. Rais Assad wa Syria anaua watu daily ila hajaguswa hata sikio todate. “Mabeberu” wapo vizuri kwenye kutoa matamko tu.
The worst thing that can happen labda ni kunyimwa/kupunguziwa misaada/mikopo. Ila kwa kuwa Jiwe anadai Tanzania ni tajiri sana na tunaweza kuwa donaa kantrii, who knows, labda anazo pesa na hahitaji mikopo yao
Hadithi za kitoto.Kuna rais amewahi kutekwa na CIA akiwa angani halafu akafichwa kwa miezi sita. Siku anatolewa anakuta nchini kwake kuna rais mpya. Endeleeni kumdanganya jiwe.
Ingia Google andika rais aliyewahi kutekwa kwa kiingereza itakuja. Kiingereza kinyooke, siyo kipinde pinde kama Cha jiwe.Hadithi za kitoto
Dada vipi ile taringi center ya kigogo ya kujumlishia matokeo imeshatoa mshindi?
Sasa mbona mnataka kupoteza muda kwenye maandamano siku za kazi?Hakuna anayezuia hilo kufanyika. Yupo?
We mbona hujaandika kwa Kiingereza? OvyooIngia Google andika rais aliyewahi kutekwa kwa kiingereza itakuja. Kiingereza kinyooke, siyo kipinde pinde kama Cha jiwe.
Mkuu habari imekuwa muda sasa hatujakutana hapa jukwaani..Tunatoka jumatatu kuandamana hakuna shida
MAGUFULI hajachaguliwa na kura za wananchi bali makaratasi yaliyotengenezwa na USALAMA WA TAIFA. Kama unapinga hapa wewe PUNGUANI hamna namna ya kukusaidia hata ukipondwa pondwa ukawa udongo na kuumbwa upya utabakia punguaniHatuogopi tumemchagua Magufuli sasa tuandamane ili iweje wakati tuliomtaka kaja
Sawa, andaeni risasi zisizofika hata milioni 3, mtuue Sisi Wakenya, (wapinzani siyo Watanzania!)Watu wenyewe hawafiki hata milioni 3 halafu wanataka kutusumbua watu milioni 12.
Hii itakuwa series ya 24, sasa unaleta movie bwege weweKuna rais amewahi kutekwa na CIA akiwa angani halafu akafichwa kwa miezi sita. Siku anatolewa anakuta nchini kwake kuna rais mpya. Endeleeni kumdanganya jiwe.
Nitakwenda kwani wewe umelazimishwa?Nenda kadai wew iyo haki unayoitaka
Hili tusi Mbowe Mungu anamuona...yaani sisi Watanzania 12M twende mirembe hii ni dharau kubwa dhidi yetu.“Kama Kuna Mtanzania anaamini Matokeo ya Uchaguzi yaliyotangazwa ni sahihi basi atangulie Mirembe akapimwe akili. “- Mh. Mbowe
N:B; Nitajitolea usafiri wa bure kabisa kuwapeleka mpka milembe.
Pale Mbeya sugu alikuwa karidhika hata kipindi cha kampeni yy akawa anakula bata tu wakati dada anakomaa kutafuta kura, kapigwa kata funua mnalalama nyuma ya keyboard ha ha ha!!!!Safi sana Chadema na ACT. Haya ndo maamuzi niliyokuwa nayatarajia. Tukikalia kimya udhalimu huu nawahakikishieni, watanzania kwenye hii miaka 5 tunaenda kuchinjwa kama kuku...