Recent content by na mimi

  1. N

    Form 5 wa mwaka huu ni vichwamaji

    sam G hiyo ndiyo hali halisi ...! yaani kusoma hujui hata picha huoni,,,? we unadhani kipi ni sahihi kati ta matokeo ya kwanza na haya yaliyo ongezeka kwa ufaulu wa asilimia 57?
  2. N

    Maxence Melo: Wamiliki wa JamiiForums ni Watanzania wanaoitumia

    Nani mmiliki wa jamii forum? Inasemekana ulisajiliwa nje ya nchi
  3. N

    Maxence Melo: Wamiliki wa JamiiForums ni Watanzania wanaoitumia

    watu wanajibu pumba lakini jamaa hajakosea kuuliza swali kama hilo...!
  4. N

    Madaktari wa Muhimbili: This is unprofessional....!

    muheshimiwa MTAMBUZI ...! naheshimu sana mawazo yako...! na pia huwa i use to keep my eyes open ninapoona comment yako...! nimekuelewa nawala sina nia ya kutetea uzembe ambao unatokea pale muhimbili lakini pia napenda kukuambia kuwa siyo kila tatizo linalo tokea ukalichukulia kama ni uzembe bali...
  5. N

    Madaktari wa Muhimbili: This is unprofessional....!

    EMT nimekuelewa mkuu bila shakaa...! muheshimiwa mtambuzi alipo lileta swala hili katika jamvi ..! alikuwa anaseama kuwa kilicho muudhi siyo kwamba mgonjwa wake kutumiwa ila kuna kauli ambayo Dr. aliiongea mbele ya mgonjwa ambayo haikumridhisha..! lakini pia nadhani kinacho sababisha mpaka...
  6. N

    Madaktari wa Muhimbili: This is unprofessional....!

    nimukuelewa moto2012...! lakini lakini stil nilicho kiandika kimeelewa maana nilikuwa kama najaribu mfafanulia mtambuzi kamavile ni mtu ambaye hajakutwa na tatizo hilo ..! kwahiyo nimemvua uhusika ili aweze kuliona tatizo hilo kwa ujumla...! napia nikasema kuwa tatizo ambalo mimi nimeliona...
  7. N

    Madaktari wa Muhimbili: This is unprofessional....!

    wewe mtambizi usiongee au usishabikie kitu ambacho hukijui...! umeshaambiwa kuwa huyo dactari alikuwa na wanafunzi anawandisha kupitia huyo mama mkwe wake ..! kisheria hilo siyo kosa kabisa maana ndiyo utaratibu duniani kote..! lakini kosa lakiufundi ambalo lilikuwa limefaniya hapo nikwamba...
  8. N

    Viatu vya Pope Benedict XVI

    he he he he kweli ana utege
  9. N

    Tamko la Jumuiya za Kiislam kuhusu mauaji ya Viongozi wa Dini na uchochezi wa Vyombo vya Habari

    yaani hata iundwe tume kutoka C.I.A kama wananchi watakuwa hawana hofu ya Mungu watu wataendeleana kilipizana kisasi mpaka siku ya mwisho:A S 39:
  10. N

    Mishahara ya viongozi wa Tanzania

    Acha masihara watu wako serious wanahitaji kujua...!
  11. N

    Mishahara ya viongozi wa Tanzania

    nia na madhumuni nikwamba waende sawa na uchumi wa marekani..! na wao wanaamini kwamba uchumi wa mareka ni minor case kushuka...! kwahiyo mishaara yao itaendelea kuwa juuu tuu kama wakitumia fedha hiyo ya USD...! WEWE HUJIULIZI KWANINI MUHINDI ANAUZA LAPTOP KWA USD WAKATI YUPO TANZANIA...
  12. N

    Airtel, huduma kwa wateja ni mbovu - wanakesi CMA na watoa huduma wao

    Hata kamisheni yao kwa tunaotoa huduma ya airtel money ni ndogo sana kiasi kwamba hata mteja akija unamhudumia kwa kuangalia kiasi cha float uliyokuwa nayo kwani usije ukaweka hela nyingi kwenye airtel money ukashindwa kuhudumia wateja wa mitandao mingine ambayo inafaida nzuri. Inawapasa...
  13. N

    Mbwa Koko

    Ujaua maana halisi ya story hii? Ina maana ndefu sana. Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
  14. N

    Mradi wa mabasi yaendayo kasi (BRT) na Dar es Salaam Rapid Transit (DART)

    Mbona kama mradi umeanza kusuasua tangu january speed imepungua tofauti na walivyoanza Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
  15. N

    Duka la Dawa Muhimu za Binadamu (Pharmacy): Utaratibu wa Kufuata na Mtaji wa Kuanzisha Biashara

    Na mimi pia nilikuwa naomba msaada kwa phamacy. Minimum capital kwa ajili ya dawa tuu ukiachana na mambo ya. A.C., matengenezo ya ofisi na usajili. Inaweza akifikia mpaka kiasi gani kwa kuanza na dawa ambazo ni major. Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Back
Top Bottom