Recent content by mzungu wa roho

  1. mzungu wa roho

    Natafuta mashamba kwa ajiri ya kulima mpunga Ifakara

    tupo mkuu ,kesho naenda huko
  2. mzungu wa roho

    Naomba kufahamishwa haya kuhusu kozi ya international Business Management

    naomba kuuliza -Mtu asiyejua hesabu anaweza kusoma course ya international business management (in Kenya au Tz) -Je ni course gani inamfaa mtu asiyeweza hesabu na kidogo kuna uwezekano wa ajira au kujiajiri?(kwa level ya degree) Msaada wenu wakuu hesabu haijawahi kuacha watu salama.
  3. mzungu wa roho

    DAR: Wezi sugu wa Pikipiki watiwa nguvuni wakiwemo mabinti wa miaka 19

    aseee huyo jamaa inabid wampe adhabu kali sana
  4. mzungu wa roho

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    baada ya kutest mitambo jana
  5. mzungu wa roho

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    hawa jamaa watatuua sasa, wakuu kuna anayeijua www.mcheza.co.tz???
  6. mzungu wa roho

    Kampuni za ukodishaji Helicopter

    daaahh kuna majibu yanakatisha tamaa sana:D:D:D
  7. mzungu wa roho

    Natafuta gari economy offer 5m

    kuna watu wanatunza magari mkuu unaweza pata gari namba A au B lakin iko vizuri kabisaaaa ukisikia maneno ya watu humu unaweza kata tamaa kabisaa
Back
Top Bottom