Kuna raha nyingi ,mimi nina mwaka wa tano huu kwenye ndoa yafuatayo nafaidi
1.mke wangu ndio rafiki niliyetaman kuwa nae karibu sana muda mwingi,sasa tupo wote,so tupo wote na ni mshikaji wangu kinouma
2.sichoti maji tena maji kwingine,nakunywa maji kwangu,nimekwepa kabisa zile karaha za maji
3.nilikuwa nafuja hela balaa,now tupo good wife ana make money balaa kwenye biashara
4.napenda draft ,karata,game zi ngine za soft ware,ila sasa kwakuwa mshikaji nipo nae,kila jioni ananisubiri ,yaan tunacheza balaa,mpka muda mwingine tuna maindishana ka tupo kijiwe cha draft, yaan hadi raha
Na sasa daughter amekuwa kuwa naye anacheza baadhi ya gemu,ko wote watatu tukijoin hadi raha...
5.maendeleo ya kiroho nilikuwa hovyo sana,mshikaji wangu tumewekana poa sana,kila siku namshukuru mungu sana kwa huyo rafiki angu wa ukweli
Kuna mengi yenye faida,lakini changamoto Zipo na ni za kawaida sana,,, kikubwa wew unataka kula ili uishi au unaishi ili ule
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.