Mkuu umeomba tukusaidie kukuonyesha, ama kuna ubaya mkuu?Kwani ni lazima uandike?
Niliona Kenya wamezindua Uber ya helicopter..jaribu kurequest huko.Huku kwetu mhh sijuiWakuu habari za leo
Naitaji huduma ya kukodi helicopter so kwa yeyote mwenye kujua kampun ambayo inafanya hizo mambo anipm
Kama hutojali kuna helcopter za jadi (ungo)Wakuu habari za leo
Naitaji huduma ya kukodi helicopter so kwa yeyote mwenye kujua kampun ambayo inafanya hizo mambo anipm