mzungu wa roho
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 209
- 140
naomba kuuliza
-Mtu asiyejua hesabu anaweza kusoma course ya international business management (in Kenya au Tz)
-Je ni course gani inamfaa mtu asiyeweza hesabu na kidogo kuna uwezekano wa ajira au kujiajiri?(kwa level ya degree)
Msaada wenu wakuu hesabu haijawahi kuacha watu salama.
-Mtu asiyejua hesabu anaweza kusoma course ya international business management (in Kenya au Tz)
-Je ni course gani inamfaa mtu asiyeweza hesabu na kidogo kuna uwezekano wa ajira au kujiajiri?(kwa level ya degree)
Msaada wenu wakuu hesabu haijawahi kuacha watu salama.