Recent content by Mzikii

  1. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nashindwa kubadilisha cheti Ajira Portal kuweka kilichokuwa certified

    Mkuu kwema?. Na mimi nimekutafuta Pm. Natanguliza shukrani.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Sauti inayodaiwa kuwa ya Jerome akisimulia mgogoro na mkewe na jinsi alivyomuua

    Kitabu hiki hapa, kazi ya Daniel Goleman. Ni tiba tosha kabisa.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Tuiunge Mkono JamiiForums Katika Tanzania Digital Awards

    Tayari nimeshiriki.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mambo kumi (10) usiyopaswa kufanya.

    Habari wana JF kama kichwa cha habari kinavyojieleza,yafuatayo ni mambo kumi (10) ambayo kama binadamu haipendezi/haipaswi kuyafanya:- 1. Kuwambia watu matatizo yako: Acha hii haifai labda endapo tu mtu au watu utao waambia wanaweza kukusaidia moja kwa moja hilo tatizo lako, watu unao...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Udahili kwa vyuo ngazi ya cheti na diploma umeanza rasmi leo

    Hata mimi nimecheki naona bado hawajafungua.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ufahamu Mmea aina ya Azolla

    Shukrani Mkuu, naamini majibu utakuwa umeyapata vizuri kwenye ule uzi mwingine.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ufahamu Mmea aina ya Azolla

    Yanafaa Mkuu.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa kilimo cha Azolla

    ;Mkuu Nsema mbegu za azolla mara nyingi hupatikana kwenye mashamba ya mpunga na madimbwi pia unaweza kupata kwa mtu ambaye atakuwa amelima zao hili. Kuhusu soko naona kuna maelezo mazuri sana ya wadau kwenye comments zilizopita. Pia kuhusu general Management ya Azolla kwa kifupi ni kwamba...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Jiunge na program ya Mafunzo ya Maarifa ya Kazi

    Shukrani Mkuu, tayari nimesha ku PM email yangu.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Jiunge na program ya Mafunzo ya Maarifa ya Kazi

    Je ninafanyaje ili niweze kujiunga katika hayo mafunzo?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kutengeneza incubator

    Iringa lini? Mkuu kinsakina.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ufahamu Mmea aina ya Azolla

    Pamoja Mkuu, mimi nipo Iringa.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ufahamu Mmea aina ya Azolla

    Mbegu Tunazo ila kama upo kati ya mikoa ya Mwanza, Mara na Mbeya huko mbegu hupatikana kwa wingi katika madimbwi na mashamba ya mpunga, kwa kipimo hicho unaweza vuna kilo tatu(3kg) hadi nne(4kg) kwa siku hivo kwa hio siku moja unaweza kulisha kuku wakubwa thelathini(30) mpaka arobaini(40) hii ni...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Ufahamu Mmea aina ya Azolla

    Mkuu denoo49, Azolla inaweza kutumika kwa kuku na mifugo mingine kama ng'ombe, sungura n.k, ikiwa katika hali ya ubichi( fresh) au ukavu (dried).Lakini azolla mbichi huwai kuharibika kwahiyo kama ipo nyingi unashauriwa kuikausha kwanza kwa matumizi ya muda mrefu.
Back
Top Bottom