Naomba msaada wa kilimo cha Azolla

Nimepanda Azzola ya kutosha, natafuta soko
IMG_20170808_114517.jpg
IMG_20170808_113653.jpg
IMG_20170808_113705.jpg
Mavuno yangu ya kwanza haya hapa, Naombeni bei elekezi Wadau nataka niuze sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu wana Jf hasa jukwaa hili LA ujasiriamali na biashara.nilikuwa nauliza je ?

Je kilimo cha Azolla mbegu zake hupatikana wapi,na ukilima Soko lake likovipi.

Vipi General management yake ikoje?
;Mkuu Nsema mbegu za azolla mara nyingi hupatikana kwenye mashamba ya mpunga na madimbwi pia unaweza kupata kwa mtu ambaye atakuwa amelima zao hili.
Kuhusu soko naona kuna maelezo mazuri sana ya wadau kwenye comments zilizopita.
Pia kuhusu general Management ya Azolla kwa kifupi ni kwamba ukiilima unatakiwa kwanza kuhakikisha maji hayapotei, kuhakikisha mbolea zake zinapatikana pia kuna kuwa na kivuli n.k hii ni ili kusaidia ukuaji mzuri na waharaka zaidi wa Azolla.
 
Ndugu wana Jf hasa jukwaa hili LA ujasiriamali na biashara.nilikuwa nauliza je ?

Je kilimo cha Azolla mbegu zake hupatikana wapi,na ukilima Soko lake likovipi.

Vipi General management yake ikoje?

soma hapa : anzishaproject .com
 
Azona ni aina ya magugu maji ambayo yanaonekana kuwa na kiasi kikubwa cha protein 20-30%. Azolla hutumiwa kulisha wanyama, kuku na Samaki.

Hili ni zao ambalo linaweza kuzalishwa kwa urahisi sana maana linaitaji jua, mbolea na maji pekeake. (Ila sio direct sunlight)

Mbegu ni raisi kupata kwenye madimbwi. Kwa mfano mwanza azolla ipo sana kwenye vitalu vya mchele au madibwi. Ni kiasi cha kukusanya utakayoweka pata na kuweka kwenye eneo unalotaka kupanda na zitamultply kwa hraka sana.

Unaweza kulima azolla kwenye containers au madimbwi. Waweza tumia mbolea ya hydroponic, mbolea za chemicali na za asili.
Mkuu hivi naweza tumia hii TSP ya punje?
Maana natafuta huyo azobam siipati
 
Azona ni aina ya magugu maji ambayo yanaonekana kuwa na kiasi kikubwa cha protein 20-30%. Azolla hutumiwa kulisha wanyama, kuku na Samaki.

Hili ni zao ambalo linaweza kuzalishwa kwa urahisi sana maana linaitaji jua, mbolea na maji pekeake. (Ila sio direct sunlight)

Mbegu ni raisi kupata kwenye madimbwi. Kwa mfano mwanza azolla ipo sana kwenye vitalu vya mchele au madibwi. Ni kiasi cha kukusanya utakayoweka pata na kuweka kwenye eneo unalotaka kupanda na zitamultply kwa hraka sana.

Unaweza kulima azolla kwenye containers au madimbwi. Waweza tumia mbolea ya hydroponic, mbolea za chemicali na za asili.
Mkuu hebu fafanua zaidi kwenye direct sunlight; Je yanatakiwa kupandwa kwenye bwawa lililo kwenye kivuli tu?
 
Back
Top Bottom