mwamwindi alikuwa rc wa iringa na kama alikuwa mwanamapinduzi hasa sielewi isipokuwa siku hiyo ya x-mas rc huyo nafikiri mauti yalikuwa yanamnyemelea aliondoka peke yake bila dereva kwenda isimani sehemu maarufu kwa kilimo cha mahindi sahemu inaitwa mkungugu akiwa ktk gari yake ya mkuu wa...
ni kweli uswahili mwingi umemzidi kwasababu alimuinulia vidole juu mh zungu ina maana alikuwa kama vile anamsuta mh mbunge,
lkn jk mwenyewe atakuwa anamjua waziri wake nje ndani,na anajua mwenyewe alichomchagulia ,kwangu mie hafai hata udiwani
Huo Ni Wehu Mtupu Kuwa Mallya Ni Jasusi,na Nimesikitika Kusikia Hivyo Kutoka Kwa Mmoja Wa Wanasiasa Aarufu Nchini,
Lakini Hii Inatuonyesha Ni Watu Gani Tulio Nao Ktk Siasa Za Nchi Hii Mie Nafikiri Prof Lipumba Ameona Uvivu Kufikiria Akaamua Kutoka Na Conclusion Yake Hiyo
mzee japokuwa wachumba wengi wa kizazi hiki ni taabu tupu lakini mwanamke wa pwani ukimwoa lazima uwe na moyo wa kinabii yaani uwe mwepesi a kusamehe kwasababu vinginevyo unaenda jela kwasababu utamuua kwa vipigo na hasa mtu mwenyewe uwe unatoka ktk kona moja ya nchi yetu pale juuu
Ndugu yangu huyo hakufai kama ameweza kufanya mambo haya ktk uchumba atayafanya sana ktk maisha ya ndoa kwasababu ktk ndoa kuna kupanda na kushuka,
pia wewe mwenyewe utaishi kwa mashaka hebu fikiria siku umemkuta anasalimiana na mmoja wa hao jamaa mawazo yako yatakupeleka wapi? utakachowaza ni...
nnape amekosea gia aliyotumia hatapata u,kiti,yeye angeahidi vitu kama kanga,t-shirts,kofia ,pilau na pesa juu na kuonyesha kuwa hapati makamba alishampinga kauli ya nnape akitaka atumie vikao,zengwe hilo tayari
ndio tunakubaliana sote huyu bwana ni mtaalamu mzuri sana wa moyo na tatizo lake kubwa kw sasa ni yeye na nssf ambao wanamdai kodi ya pango, hivi yeye kama mtaalamu hatakiwi kufuata taratibu ? ikiwamo kulipa kodi za pango?
Nimefurahi Kidogo Bwn Mbwambo Kwa Kuchambua Udhaifu Wa Viongozi Wa Kkkt,
Lakini Pia Na Wewe Bwambo Kama Mwandishi Veteran Unajishushia Heshima Yako Kwa Kuandika Habari Za Kusikiasikia Tu
aaaaahh! hapo kwanza kabisa c binti ushakutana na dharuba nyingi saaana pili huna mpango wa kuolewa aina ya mume umtakae inaashiria jinsi ulivyo mtatanishi, sijui labda utafanikiwa
Mtikila Ndugu Yetu Ni Afadhali Angetuliza Ball Tu Kelele Zoooote Kumbe Anazunguka Nyuma Kuvuta ,ina Maana Kelele Zoye Za Mchgj Huwa Ni Gia Ya Kutafutia Pesa Ama Kweli Tz Bado Kupata Wanasiasa Wa Kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.