Wee kidole007 unafanana na jina lako acha viroba vyako toa sababu siyo Mahanga wenu alikaa ukonga miaka 15 hatukumwona hata kwenye mkutano mmoja kalidumaza jimbo , Mwaiposa siku chache tu maendeleo kibao umeme kivule karibu unaenea, makazi kipunguni katunusuru kuhamishwa , bara2mombaza...
Tatizo kubwa hii mijitu inadhani fedha ni kila kitu. Jerry Slaa ndo hafai hafai kajamaa kananata hadi familia ilimshinda huyo.
Ramesh muhindi hatumpi hatujamwona tangu tumpatie Nec na ahadi hajatimiza hata moja.
Kama hatajitokeza mwingine naafiki huyo mama aendelee hana makuu ni mchapa...
Bwana haka kajamaa kamemshtaki kuwa wafuasi wake walivunja vioo vya nyumbani kwake wakati wanashangilia ushindi lkn hata kada wa ccm barongo kaunganishwa pis.
Jerry anamwogopa sana barongo maana anakubalika G.mboto na ametangaza kugombea udiwani.
Mimi nina wasiwasi na huo ubunge anaoutaka maana...
Mshikaji tumekachapa kajamaa hakakuamini. Mh Slaa alidhani wote ni wanawake wa baa kama anavyowaita hiyo miccm yake.
Kwamba yeye anasubiri wakati wa uchaguzi anamimina hela za ufisadi na kupewa kura.
Tunamsubiri udiwani nawaambia hata kura mia hatapata.
Pesa tutakula na tutammimina vilevile
Sasa ndugu yangu tunamwachaje mbunge aliyefanya vizuri jimbo ? Kila siku kuwa na viongozi wapi haina tija ila nakuunga mkono wale waliofanya vibaya tuwatose
Jamani huyu Nyansika mimic simwelewi anasema barabara ya njia sita toka Banana - Kitunda -Kivule hadi Chamanzi ipo lakini asemi tutalipwa lini na itaanza . Kamati na Mbunge wanasema mradi huo bado hautambuliwi na serikali na barua wanazo.
Huyu diwani ana nia gani au yeye kazi yake ni...
Msema ukweli mpenzi wa Mungu.Pamoja na changamoto za Ukonga Mbunge amejitahidi sana huku chanika tunaye kila mara na barabara chanika msumbiji ambayo ilikuwa haipitiki ametengeneza , katuletea maji, na kajenga kituo kikubwa cha kiwilaya cha polisi kimani . Ni mchapa kazi mama wa watu acheni fitna
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.