singsong
Member
- May 7, 2014
- 77
- 9
Hongereni wana ukawa kwa kazi kubwa mliyofanya Ukonga.
Mmemkomesha msanii Jerry Slaa kwa kumweka chini ya mwenyekiti wa serikali ya mtaa toka Ukawa.
Mh Slaa ajifunze kuwa siasa za sasa wa hawajali fedha ,wanakula na wanakumimina pia.
Kesho fanyeni tena mtaa wa GONGOLAMBOTO na Ulongoni. Meya ajulikani aliko na amewaacha Ccm Get.mboto kama yatima au anaogopa maana kila akitembea mtaa ana walinzi na bado anazomewa na vijana.
Wembe ule ule watu wangu.
Mmemkomesha msanii Jerry Slaa kwa kumweka chini ya mwenyekiti wa serikali ya mtaa toka Ukawa.
Mh Slaa ajifunze kuwa siasa za sasa wa hawajali fedha ,wanakula na wanakumimina pia.
Kesho fanyeni tena mtaa wa GONGOLAMBOTO na Ulongoni. Meya ajulikani aliko na amewaacha Ccm Get.mboto kama yatima au anaogopa maana kila akitembea mtaa ana walinzi na bado anazomewa na vijana.
Wembe ule ule watu wangu.