Recent content by Mzee wa Shida

  1. Mzee wa Shida

    Msamaha wa kodi ya kiinua mgongo kwa Wabunge, Mawaziri, Rais, Wakuu wa Mikoa na Wilaya wafutwa

    Tanzania haiwezekani kujiendesha bila kulipa kodi
  2. Mzee wa Shida

    Polisi wamsaka ...

    Unadhani polisi wanapaswa kufanya nini au kuchukua hatua gani kama watu hawatii sheria bila shuruti?
  3. Mzee wa Shida

    Wamachinga waache kulalamika maana wao ndo chanzo

    Wamachinga kote nchini waache kulalamika kuwa wanafukuzwa katika maeneo yao ya biashara wakati wao ndio wanakuwa chanzo. Nasema haya kwa sababu wamachinga wengi wanabuni biashara zao maeneo ambayo hayastahili kufanyia biashara. Mfano kama huyu hapa kwenye kona kabisa anastahili?
  4. Mzee wa Shida

    Lowassa: Niko tayari kufa nikitetea Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya

    Lowassa akachunge ng'ombe Monduli alishindwa atulie
  5. Mzee wa Shida

    Sumaye: Magufuli anapandikiza chuki na hasira katika jamii

    Sumaye kumbe amelitambua hilo. Hii hadi raha.
  6. Mzee wa Shida

    Sijui ni Malaria?

    Sijui ni Malaria? Yani naumwa kweli, hata kula nashindwa; asubuhi yenyewe nimekula chapati 9 tu, maandazi 7, mihogo 7, vitumbua 10, mikate 6, magimbi 5, ndizi za kukaanga 4, sambusa 5, sahani za ubwabwa 3, mtori bakuli 2, pilau sahani 5, kulikuwa na kiporo cha makande nimejazia jazia ivyo...
  7. Mzee wa Shida

    Ni ofisi gani ya Serikali uliwahi kupatiwa huduma mbovu na majibu ya dharau?

    Acha kabisa NSSF mkoa Kilimanjaro Moshi branch bila rushwa huduma haiendi utazungushwa miezi mingi sana lakini ukitoa chochote yaani ni fasta.
  8. Mzee wa Shida

    Salaam zako

    Sio mgeni wa katoliki slowpancha
  9. Mzee wa Shida

    Salaam zako

    Nimepewa salam zako na bwana SHAABAN, anasema unasalimiwa na bwana RAMADHAN na muda si mrefu atafika kwako akiongozana na mkewe BI SWAUM wakiwa na watoto wao wa 3, TAUBA, MAGHFIRA na REHHMA. Hivyo watakaa kwako kwa muda wa mwezi 1, baadae watafuatwa na mzee IDD ELFITRI. Tafadhali ndugu...
  10. Mzee wa Shida

    Basi la Dar Express lateketea kwa moto

    KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Pwani, Jafari Ibrahimu amesema Basi la Dar Express lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Arusha, leo mchana limeteketea kwa moto eneo la Kwamakocho, Kijiji cha Kimange, wilayani Bagamoyo, Mkoa wa Pwani. Kamanda Ibrahimu amesema kuwa abiria wote waliokuwemo ndani...
  11. Mzee wa Shida

    Zaidi ya kaya 170 zimekosa makazi kufuatia mvua kubwa zinazonyesha mkoani Simiyu

    Kaya 150 zakoswa makazi baada ya mafuriko yaliyotokana na mvua kubwa iliyonyesha. Source radio one sterio. Mwenye taarifa zaidi atujuze.
Back
Top Bottom