Wamachinga waache kulalamika maana wao ndo chanzo

Wamachinga waache kulalamika maana wao ndo chanzo

Mzee wa Shida

Member
Joined
Nov 29, 2014
Posts
66
Reaction score
5
Wamachinga kote nchini waache kulalamika kuwa wanafukuzwa katika maeneo yao ya biashara wakati wao ndio wanakuwa chanzo. Nasema haya kwa sababu wamachinga wengi wanabuni biashara zao maeneo ambayo hayastahili kufanyia biashara. Mfano kama huyu hapa kwenye kona kabisa anastahili?
026700169c5b4d326522fab9573e8f8f.jpg
baef1d301bd8982707b823add989e640.jpg
 
Back
Top Bottom