Recent content by Mzee Wa Maono

  1. M

    GE2010 Igunga: Nani ataibuka kidedea kati ya hawa?

    msipe moyo tumbo jamaa mwaka jana amegombea kisesa akapata kura 3400 na mshindi alipata kura 26000 muone tofauti hapo jamaa analeta tamaa za kijinga
  2. M

    TAMKO LA BAVICHA-Siku ya vijana duniani. Heche ailipua UVCCM

    heche sijui huwa anasaidiwa na nani kuandaa matamko yake maana sioni kitu chenye mashiko jamani mm nashindwa kuamini kama jamaa ni graduate kabisa, mwone asivyo na upeo katika kupangilia hoja yaani mm nahisi kichefuchefu tu eti ndiye kiongozi wa vijana hahaa wapi hao, likisimama kwenye mikutano...
  3. M

    BAVICHA Igunga: Hali iko vipi?

    mnamuuliza heche mnakosea, jamaa enu aliondoka zamani tu hapo igunga jana nimemuona mitaa ya mlimani city akinywa konyagi, nasikia alitaka awe msemaji mkuu kwenye mikutano ya igunga, akina benson na tumbo na waitara wakambania akapewa nafasi ya pili kuongea hahaa jamaa akachukia na kudanganya...
  4. M

    Mapokezi ya kamanda Lema Arusha

    kwa hiyo amewandaa au unataka tuamini wewe ndiye uliyetumwa ukawwandae, subirini tu huyu mahanya wenu atakapobomolwa mtajuta
  5. M

    Dr Slaa na Kubenea Mfukoni mwa Lowassa!

    kubenea -alinunuliwa mtambo wa kuchapisha magazeti -alisafirishwa kupelekwa india kutibiwa -analipwa sh.300,000 kila anapowaandika akina jk na sitta vibaya slaa -anapewa orodha mpya ya mafisadi na lowassa -alimsaidia kutetea kesi yake n aliyoshitakiwa kuchukua mke wa mtu -ndio sababu hamtaji...
  6. M

    Madiwani wa CHADEMA Arusha wagawanyika

    kumbe nimejua huyu feedback ana chuki binafsi na hawa akina ben na nyakarungu na yeye ndiye EasFit tena hii ni vita yao wenyewe tuwaachie jamani.
  7. M

    Josephine Mshumbusi ajifungua

    walizusha last week kuwa kazaa, ila leo hata mimi kuna dereva wa pale makao makuu ya cdm ameniambia hii news leo, mzee slaa bwana alikosa vitu hivi miaka yote ya ujana wake alipokimbia utawa tu akakutana na dunia akadata ona anavyokula raha za dunia sasa.
  8. M

    Madiwani wa CHADEMA Arusha wagawanyika

    Magwanda wenyewe sasa, hahaaa
  9. M

    Madiwani wa CHADEMA Arusha wagawanyika

    YES BEN, In whese symbolic shadows we stand today, signed the Emancipation Proclamation. This momentous decree came as a great beacon light of hope to millions of Tanzanians who had been seared in the flames of withering injustice, It came as a joyous daybreak to end the long night of their...
  10. M

    Hawa wanamuunga mkono Lowassa ktk CCM. Nani mwingine unamjua?

    hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
  11. M

    Heche na Nape katika kipindi cha medani za siasa na uchumi cha star tv

    na mimi nimewaona, kumbe huyu jamaa ndie heche, hahaa kwa hiyo cdm huyu ndiye kichwa kwa vijana wao wote? hahaa kazi sana sioni mnachowasifia hawa vijana kwa mimi huyu heche nilidhani atakua mtu wa uono kumbe nae ni kujaza hewa tu tumboni oneni anavyojiuma hadi nape anamcheka. natamani nisikie...
  12. M

    Madiwani wa CHADEMA Arusha wagawanyika

    hahahaa hakuna rushwa hapo, aliyekurupuka ni slaa ili awahadae wananchi wamwone kuwa ana taarifa za ndani za kiutafiti, mm nimechoka na hawa wanasiasa, kumbe inawezekana ccm ikarudi tena madarakani. padre mzushi hivi, ndio maana alijiondoa kwenye zizi la kondoo mapema.
  13. M

    BAVICHA kuchakaza Igunga, Operesheni Chukua Igunga

    samahani jamani, hivi ni nani katibu wa hawa baba vichaa ( bavicha)?
  14. M

    Shibuda atangaza kuihama CDM leo hii

    ni bora cdm kiwe na bila katibu mkuu kuliko kuwa na slaa anayetupa matumaini hewa kwa kuropoka kwenye vyombo vya habari, kisha kesho anakanusha..anatoa habari mpya tena haahaaa cdm mna kazi.
  15. M

    Shibuda atangaza kuihama CDM leo hii

    Compare and contrasit the fate of developed technology...!! To some washamba wa hii teknologia!
Back
Top Bottom