Mkuu inasemekana wewe unaogopa sana kutongoza totoz ana kwa ana ndo mana umekimbilia kwa mtandao kurusha jiwe gizani.Mimi sijui ila wenzako wanakusema hivyo.
Huko kijana akiwa na uwezo wa kumiliki gobore, baiskeli na nyumba ya nyasi<biwi> anajiona anatosha kuoa.Muda wa kufuatilia hayo mambo hana, kutwa nzima kajifungia ndani na mkewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.