labda aipo kwenye inawezekana wame monitor sim card kwenye mtandao unao utumia yani labda ameenda tigo kufanya icho kitu dawa apo nunua nokia torch na chip nyimgine
kwa kawaida tuna kula nao awa maaskari lakin that day walitaka ela nyingi sana itabidi nichomoe wakanipeleka cental kwasababu mzaza wangu mmoja ni mjeshi na anacheo alikuja nitoa mchezo ukaishia apo wale askari wakatengeneza chuki na mimi adi leo mzeee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.