blackbeut
Member
- Sep 13, 2014
- 90
- 16
Nenda setting then security then device administrator angalia kuna app yoyote imekuwa listed hapo? Mara nyingi panakuwa na device manager ya google tena inakuwa deactivated ukiona kitu chengine nambie.
Kama haujaroot simu inamaana factory reset inaweza kumtoa app anaespy unless umeroot ndio zitahitajika Njia za ziada. Ila factory reset iwe solution ya mwisho baada ya njia nyengine kushindwa.
Kitu chengine unachoweza kufanya Ni kwenda setting halafu app manager halafu downloaded apps then angalia app usioijua. App ya kuspy lazima itajiita jina la kawaida hivyo kuwa makini kuangalia Ni app ipi hujaidownload.
Pia unaweza download firewall na kuzipa ruhusa app unazozijua tu ziwe na acess ya internet, inamaana kama kuna spy app itabaki na data zake humo humo bila kupeleka kwa mhusika
Mkuu nimeona device manager na AVG Anti Theft service tu