Recent content by Mzee Mzee

  1. M

    Watanzania wakataa siasa za Mwigulu Nchemba

    Huyo ni zuzu,sio mtu
  2. M

    Mwigulu ajipanga kuingusha CHADEMA nchi nzima

    Hana uwezo wa kuisambaratisha chadema aseme anaenda kujidhalilisha kwa wananchi, yeye ningemwona mtu wa busara kama angesema najiuzulu unaibu katibu mkuu,make hakuna anachokijenga bali anazidi kukipaka matope chama chake.
  3. M

    Wabunge wachungaji mlioko CCM mjengoni muogopeni Mungu,simamieni haki.

    Ipo siku Mungu atawaonyesha njia
  4. M

    Ludovick apata dhamana

    Hongera kwa kupata dhamana hiyo nayo ni hatua
  5. M

    Uchaguzi una kushinda na kushindwa...

    Ndugu watanzania wenzangu kuna siku mwigulu kwa niaba ya hao wenzake niliowataja hapo juu alisema Bungeni kuwa CCM ilikuwa inakaribia kuchukua viti 4 vya udiwani jijini arusha.Na ndio maana CDM wakaamua kulipua mabomu.Je hii ni kweli make leo hakuna mabomu na wamepigwa kipigo cha mbwa mwizi.Ebu...
  6. M

    Live Updates: Uchaguzi wa Kata nne Arusha tarehe 14 July 2013

    Mwigulu alisema CCM ilielekea kuchukua majimbo yote 4 ndo CDM wakalipua mabomu naomba uthibitishe kauli yako make leo hakuna mabomu CCM mmeshinda kata ngapi.Wewe ni zuzu ......................wewe sio mchumi bali mtu wa kuchuchumaa unadhalilisha wachumi
  7. M

    Godbless Lema: Nimemaliza Arusha sasa nashuka Mtwara

    Ndugu watanzania wenzangu mie ni mmoja wa wasomi wa nchi hii nilisema hivi mtu kama mwigulu,nape na wasira ndo watu watakaoibomoa CCM na nilisema uelewa wao ni mdogo sana hawana uwezo wa kushawishi watanzaniam wa zama hizi.Ukipanda mtama utavuna mtama.Mwigulu wewe sio msomi ni zuzu kadanganye...
  8. M

    Tumpuuze Mwigulu Nchemba na Mwenyekiti Wake(Picha), Tuimarishe haraka Red Brigade

    Huyu mwigulu kuna siku atakuwa kama katibu wa CCM aliyepita-Mkama,hana sera kijana mzima baada ya kutumia elimu yake kuasa jamii,badala yake unajenga uchochezi,OK,Mungu akusaidie,lakini kuna siku utaomba Watanzania msamaha.Kwanza hata sisi wasomi wenzio unatuhabisha sana.
  9. M

    Mwigulu: Membe, Sitta Hawatapata Urais

    Du,kama ni hivyo Chadema wanakaribia kuchukua nchi
  10. M

    Picha: Ofisi ya CCM Mbinga yachomwa Moto

    Acha wachomane moto (Chama lazima kiweweseke,unamtegemea Nape na Mwigulu wafanye nini?)
  11. M

    Mishahara Mipya kwa Walimu Kuanzia Julai 1 2013

    Na sisi wengine vipi ?
Back
Top Bottom