Askari Polisi wakimbia kuishi uraiani Mtwara

Askari Polisi wakimbia kuishi uraiani Mtwara

NAMKWAKWA

Member
Joined
May 16, 2013
Posts
43
Reaction score
38
Askari jeshi la polisi mkoani mtwara wameingia katika kipindi kigumu baada ya baada ya kulazimika kuhamia katika kambi zilizopo kutuo kikuu mkoani mtwara na kuishi ktk mahema,hiyo imesababishwa na kuhofia usalama wao mitaani pia wamiliki wa nyumba mkoani mtwara wamegoma kuwapangisha askari polisi.Hali hii imesababishwa na vurugu zilizotokea mkoani mtwara na kusababisha jeshi la polisi kuchukua hatua ya kujeruhi,kuua na kuharibu na kupora mali za raia
 
na mwendo bado upo palepale. Haitoki...
 
vyovyte itakavyokuwa mapembe yataendelea kukatwa tu.
 
Inatakiwa hata soko wawenalo la kwao,wauze wake zao,na wakienda kujumua vitu wabakwe tu,mpaka watie adabu,ingekuwa hivyo Tz nzima!ingekuwa poa sana
 
mtapigwa tu na mimi nasema wapigeni tu.

Uvccm mwingine huyu hapa...hawa wadudu humu ni wachache sana lakini hawa dawa yao ndogo hata alovera tu wanapukutika jamvini....yaani ninyi siku lumumba wasipowalipa hakuna wakuitetea ccm humu haaaaaaa haaaaaa haaaah kweli magamba wanakazi siku hizi
 
Waziri mkuu mr. Pinda yuko wapi awakaribishe kwake, si alisema wapigwe tu; kwa kuwa aliona raia hawawezi kuishi na hao polisi wake. Waache wahangaike kama wakimbizi hivyo hivyo na ukichukulia serikali yao haiwajali, wanaishi kwenye vijumba vya ajabu ajabu.
 
Pinda ni Mpu...avu kuliko kitu chochote hapa duniani.
Kwahiyo anaona yeye na hao polisi ni watu exceptional sana hapa TZ?
Hao mapolisi wana bunduki, mabomu, risasi,magari (they have gvt power), Je hao wake zao na watoto wao na ndugu zao wana hiyo power???
Kamata mtoto/mke/mama n.k PIGA tena piga mpaka unauwa, nextime huyohuyo polisi na Punda watazungusha akili wataelewa hata wao ni watu kama walivyo watu wengine.
 
Aliyewachonganisha na wananchi yeye analindwa siku 365.25 na wao walitakiwa wajitambue sio kila wanachoamrishwa ni kutii tu hata kama kina madhara kwao.
 
Back
Top Bottom