Mwigulu ajipanga kuingusha CHADEMA nchi nzima

Mwigulu ajipanga kuingusha CHADEMA nchi nzima

Umeonae, kapiga wrong number akajipange upya huyu mleta mada, hawa vijana hawashikiki, tunamshukuru Mungu sasa watanzania tumejua mengi kupitia hawa vijana.
we kiboko.nimeamini we ni sufuria makalio yako hayaogopi moto
 
heheh mapumziko mazito yakiisha abadili na mwonekano actually he should ditch the scarf... itaongeza mvuto, afanye siasa kama za kistaarabu kama Kinana
 
Umbea tu huu, SHONZA NA MWAMPAMBA ni sumu kwa CHADEMA wala usimsingizie MWIGULLU, hayo ni mawazo yako na hayana ukweli wowote.

Sio sumu tu na tena ni mwiba mkali sana kwa CDM si umeona walivyoiangusha CHADEMA kwenye uchaguzi wa kata za huko Arusha juzijuzi kwa kuipa ushindi wa kishindo CCM?Teh teh teh teh teh...!!!
 
Asisahau kwamba hata wakati wa chama kimoja wakati mgombea anakuwa mmoja... Yaani upande mmoja mtu na kwingine kivuli, bado hakuna aliyekuwa anapata 100%..... Itakuwa leo.....??? Kuiangusha CDM ni ndoto, kwani ina wanchama nchi nzima, CDM si mtu mmoja..... Au anamaanisha nini kuiangusha CDM..???
 
Poleni xana ccm, poleni sana magamba, poleni sana shoza, poleni xana mwampamba huu ndo wakati kwn hamgombani na CHADEMA bali mnagombana na WAKATI. Na wakati ndo huu.
 
Poleni xana ccm, poleni sana magamba, poleni sana shoza, poleni xana mwampamba huu ndo wakati kwn hamgombani na CHADEMA bali mnagombana na WAKATI. Na wakati ndo huu.
 
Siyo CHADEMA wanaojilipua na kusema ni jeshi la POLISI wewe, Mwigullu noma na ndiyo maana kila siku CHADEMA wanahaha mpaka wanatumia Tsh. bilioni 1 kwenye uchaguzi wa kata nne tu pamoja na kutoa mamluki Karatu, Arumeru na moshi.
...........aha ha ha ha!!! Magamba mna kazi kweli kweli, umejuaje kuwa Chadema wametumia 1bn huko Arusha au wewe ulikuwa mke wa Mhasibu wa Chadema kule Arusha?. Unoma wa Mwigulu upo wapi katika kupanga milipuko au kupanga mikakati ya kumwagiana tindikali?
 
Kada mahiri wa CCM na kipenzi cha Watanzania Mwigulu Nchemba yupo kwenye mikakati mizito ya kuisambaratisha CHADEMA na Kuirudisha Heshima ya Chama Kubwa CCM katika medani za siasa Tanzania. Akiwa katika mapumziko mazito amesema sasa umefika muda muafaka wa kuwajulisha Watanzania nini kipo nyuma ya Chadema amesema watanzania wakae mkao wa kushangilia ushindi.

Aidha amesema ana mpango wa kuwapumzisha vijana wawili ambao wanaonekana ni mamluki kutoka CHADEMA kwani hawakubaliki katika siasa za majukwani na wapenzi wengi wa ccm hasa vijana wa Green guard wanawachukia sana. amesema atakuja na kikosi kipya kilicholelewa na kukulia ndani ya ccm kupitia chipukizi za CCM. amesema vijana hao wawili waliokuwa wanachama na viongozi wa Bavicha ni mzigo kwa chama kwani kila wanapopita huzomewa na hawana uwezo wa kufanya siasa za majukwani.

Mwigulu amesema baada ya mapumziko anayokaribia kuyamaliza atafanya mkutano mkubwa wa hadhara katika mikoa ya kanda ya ziwa na kusini.

Nchemba is a waste CCM wana mpango kama huo juu yake akiwaacha naye anaachwa maana wote hawana uwezo wa siasa za kistaarabu.
 
If it's true, Mwigulu should not waste his time, his party's resources with his dead plans thinking that he is capable of killing Democracy (Chadema).He should first and foremost know chadema is more than a political party.Hence, killing it will result into political civil wars in Tanganyika.I thus, warn him to deal away with his dead plan. Failure to which, he will result into a political misery.
 
Kada mahiri wa CCM na kipenzi cha Watanzania Mwigulu Nchemba yupo kwenye mikakati mizito ya kuisambaratisha CHADEMA na Kuirudisha Heshima ya Chama Kubwa CCM katika medani za siasa Tanzania. Akiwa katika mapumziko mazito amesema sasa umefika muda muafaka wa kuwajulisha Watanzania nini kipo nyuma ya Chadema amesema watanzania wakae mkao wa kushangilia ushindi.

Aidha amesema ana mpango wa kuwapumzisha vijana wawili ambao wanaonekana ni mamluki kutoka CHADEMA kwani hawakubaliki katika siasa za majukwani na wapenzi wengi wa ccm hasa vijana wa Green guard wanawachukia sana. amesema atakuja na kikosi kipya kilicholelewa na kukulia ndani ya ccm kupitia chipukizi za CCM. amesema vijana hao wawili waliokuwa wanachama na viongozi wa Bavicha ni mzigo kwa chama kwani kila wanapopita huzomewa na hawana uwezo wa kufanya siasa za majukwani.

Mwigulu amesema baada ya mapumziko anayokaribia kuyamaliza atafanya mkutano mkubwa wa hadhara katika mikoa ya kanda ya ziwa na kusini.
Kama taarifa hii ni kweli,basi atakuwa ameenda kujichimbia kaburi,hawezi kurudisha heshima kwa kuisema chadema!!!na kwakuwa ni -------- basi sina haja ya kumwambia nini cha kufanya kurudisha heshima kwani nataka waendelee kupotea
 
Hakuna mpango utakaoibomoa cdm na kuijenga ccm zaidi ya kutekeleza ahadi zote za maisha bora kabla ya 2015,naomba muendelee kuhangaika na CDM ili muitangaze zaidi
 
Hana uwezo wa kuisambaratisha chadema aseme anaenda kujidhalilisha kwa wananchi, yeye ningemwona mtu wa busara kama angesema najiuzulu unaibu katibu mkuu,make hakuna anachokijenga bali anazidi kukipaka matope chama chake.
 
cha msingi sii kubomoa nyumba anayojenga mwenzako kwa sababu yako ni ya zamani. busara ni kuikarabati ya kwako japo haiwezi kufikia ile ya kisasa

mwingulu ni mtaji kwa wapinzani kw mtu anayepembua kwa umakini. kwani ni beki anayekaribisha mashambulizi golini
 
Hivi shem anajua kutumia keyboad despite kuwa analea watoto watatu eeh? Anyway huruma zangu kwa kina Mtela Mwampamba na Juliana Shonza kwani wametumika kama Big G au muwa na sasa utamu umeshaisha wanatemwa. Waliyataka wenyewe though.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom