Recent content by Mzee Chapuuka

  1. Mzee Chapuuka

    JamiiForums Tanzania Kila nikikumbuka visa vya Mama Mwenye Nyumba, Kanyenye (Tabora) sirudi tena

    Tabora napapata sana kuna watoto dizaini ya wa Pwani mitaa ya skanda,mihogoni,cheyo
  2. Mzee Chapuuka

    JamiiForums Tanzania Hivi wadada mkifanya hivi mtakufa!??

  3. Mzee Chapuuka

    JamiiForums Tanzania Malisa: Wanapitisha kwa kura za NDIYO muswada jana leo walewale wanapongeza kwa ujinga wao,

    Inzi wa kijani povu la nn njoo na hoja sio mipasho
  4. Mzee Chapuuka

    JamiiForums Tanzania Polisi mtaacha lini Rushwa?

    Pole mkuu jamaa wana njaa za kipuuzi sana
  5. Mzee Chapuuka

    JamiiForums Tanzania Polisi mtaacha lini Rushwa?

    Salaam wanaJF, Leo mida ya asubuhi nimekuwepo central kufuatilia namna ya kumdhamini mfanyakazi mwenzangu aliekamatwa Kwa kesi ya madai. Sasa nimepeleka barua ya kumdhamini toka Kwa Afisa mtendaji. Kilichofuata hapo nikaanza kuzungushwa ili mradi nitoe fedha jamaa angu aachiwe wakati dhamana...
  6. Mzee Chapuuka

    JamiiForums Tanzania Malisa: Wanapitisha kwa kura za NDIYO muswada jana leo walewale wanapongeza kwa ujinga wao,

    Hivi polepole ni Mzee au kijana hujue nashindwa kumwelewa Ile Sura yake
  7. Mzee Chapuuka

    JamiiForums Tanzania Sijui maana ya dili lakini hali ni mbaya

    Kweli hali ni mbaya mi nna madeni lukuki na kazini kulipwa magumashi,nlitaka nifungue business ndogo tra wakanitolea macho kodi nimeshindwa,kiufupi serikali ya Pombe Magufuli imekuja kuaharibu maisha ya watu
  8. Mzee Chapuuka

    JamiiForums Tanzania TUTANYOLEWA BILA MAJI

    Ngoja tusubiri mapovu ya wanaLumumba
  9. Mzee Chapuuka

    JamiiForums Tanzania Nakerwa na masharti ya kuingia hospitali ya Bugando

    Kichwa cha habari chahusika Kikukweli walinzi wa pale Geti kuu la kuingia hospital ya Bugando wanakera mno hata kama wanafuata taratibu zilizowekwa na hospital Kimsingi hospital ni sehemu ya kupeana faraja sasa linapokuja suala la kukaguana ovyo ovyo kana kwamba mtu amebeba madawa ya kulevya...
  10. Mzee Chapuuka

    JamiiForums Tanzania Mwanza limepita Tetemeko sijui wenzetu Kagera wako salama

    Wakuu dakika 5 zilizopita ,kuna tetemeko dogo la ardhi limepita mjini Kati mwanza hapa Ghorofa nliyopo limetetemeka kiaiana na wafanyakazi kuingiwa na hofu Sijui ndugu zetu Bukoba wamepona manake ukiona tetemeko mwanza basi jua limetokea Bukoba Tujuzane wana BK mpo salamaa au mwafwaaaa
  11. Mzee Chapuuka

    JamiiForums Tanzania Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Naona watu leo wanashangilia Sana ripoti ya mchanga wa madini na kuona kwamba JPM ni mzalendo kweli kweli Lakini nionavyo wizi wote wa Mali ya umma ,dhuluma yote ya Mali za umma ni uzao wa CCM na tawala zake Suala la madini lilishapigiwa sana kelele na upinzani mikataba iangaliwe upya...
  12. Mzee Chapuuka

    JamiiForums Tanzania Wananchi wamshauri Magufuli kuongoza vipindi vinne mfululizo

    Mtoa Uzi acha uboya nchi inafuata demokrasia ikifika miaka yake 5 au 10 asepe apishe wengine
  13. Mzee Chapuuka

    JamiiForums Tanzania Serikali na jamii ina mkakati gani rasmi wa kuendeleza waliofeli shule?

    Tunajenga kwanza viwonder na kuongeza terrible teen,hao failures wasubiri kwanza terrible teen zijae viwanjani tutawafikiria
  14. Mzee Chapuuka

    JamiiForums Tanzania Mbunifu na Mchoraji wa Nembo ya Taifa anaishi maisha duni.

    Lawama zote ziende Kwa CCM Kwa dhuluma waliyomfanyia huyu mbabu
  15. Mzee Chapuuka

    JamiiForums Tanzania Ndege wafananao huruka kundi moja

    Huwa najiuliza inakuaje mkuu JPM tangu aingie madarakani rafiki zake ni maraisi wenye skendo mbovu katika nchi zao,karibu viongozi wote wakuu wa nchi waliotembelea bongo wanaskendo mbovu katika nchi zao 1.Kagame ana skendo ya kuminya demokrasia na Uhuru Kwa wapinzani nchini kwake 2.Mfalme wa...
Back
Top Bottom