Hivi wadada mkifanya hivi mtakufa!??

Hivi wadada mkifanya hivi mtakufa!??

Mzee Chapuuka

Member
Joined
Apr 21, 2017
Posts
97
Reaction score
243
28f83a5d5d0d0b10f346fb4127f7344c.jpg
 
Labda mahitaji ya wazazi.... naweza kama nna kipato hicho, wazazi ni watu nnaowathamini hata wasio wangu.

ila hao Mbuzi wenzie wakatafute bar na vimada kwa pesa yangu[emoji23][emoji23][emoji23] Baadae sana[emoji23][emoji23],
eti Gariiiiiiiiii, ptuuuu!!!! Labda nimnunulie Lakuchumpa aendee Mpiji magohe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanaume atatafuta kwa jasho mwanamke atazaa kwa uchungu! so kama na nyie mtaweza kutusaidia mambo ya leba sawa.
 
Marioo mna mambo!

Hilo jambo halipo labda kama ameninunulia kisiwa nitamnunulia gari
 
Back
Top Bottom