Amavubi unaweza kuwa sahihi kabisa kwani baada ya yule mama sijui anaitwa mama mwanjelwa wa ccm kusema mbeya city ni timu ya ccm kwani inahudumiwa na manispaa imewakera sana watu wengi waliokuwa wanaitakia mema na michango mbeya city. Ni ukweli usiopingika kuwa ccm haina mashiko kwa baadhi ya...
Jf inapoteza mvuto kila kukicha. Hawa wanafunzi wanaojiandaa kuanza first year ndio tunawategemea kuandika thread.?. Enzi za jf watu walitumia logic sana kundika hapa kimsingi sijaona mantiki hapa. Sasa jamaa dada kapaki anacheka na mume wake ndio nn
Sema wewe ulishapanga kumpotezea ukaona kwake umekufa au huwez pata mwingine kama yeye. How com unashindwa kuwasiliana na mpenzi wako kwa mwezi mzima hata kama hakutafuti? Jipange usijilazimishie kwa mtu hata kma unampendaje jikaze hizi mambo zinatesa sana
Shukrani ya punda ni mateke. Ukiona mshahara hautoshi nenda mahakamani au ukishindwa kabisa hama nenda media nyingine inayolipa vizuri instead of holding A then opt for B au sio
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.