Ubusy katika Mapezi

Ubusy katika Mapezi

Mbona mkali best?
Bidada kavurugwa ujue!!!!

Ukali wangu u wapi hapo best?

Aende SUA akamuulize huyo mpenzi wake na kama kuna ubusy wowote atajua huko...
 
Unasikitika hadi huruma.
Jipange tu kisaikolojia, yuko mguu pande huyo my baby wako na pengine alishakata kamba bado kukutamkia tu.
 
Ukali wangu u wapi hapo best?

Aende SUA akamuulize huyo mpenzi wake na kama kuna ubusy wowote atajua huko...

Ana sound like bint mdogo sana ambaye hawezi kuchukua maamuzi hayo bila kupewa ruhusa na baby yake!!!
 
Ila hakuna ubusy uliozidi kupita kiasi tena kwa hao wanafunzi wa chuo anakosaje mda wa kumjibu mwenzake

hapo chacha!!!..huyo ana anayemuweka bize hapo varsity....tena amenikumbusha kaupepo Ka kuleeeeeeee uwanjani mpaka raha yan SUA dah enzi hizooooo na aliekuwa my beibeeeee the so called Elfas ...may God bless u wherever you are..
 
hapo chacha!!!..huyo ana anayemuweka bize hapo varsity....tena amenikumbusha kaupepo Ka kuleeeeeeee uwanjani mpaka raha yan SUA dah enzi hizooooo na aliekuwa my beibeeeee the so called Elfas ...may God bless u wherever you are..

Hahahaha et ka upepo.....sasa unanrusha roho?haya bhana
 
Ngoja wenzake wamsaidie labda ndio ufahamu utamjia...

Ana sound like bint mdogo sana ambaye hawezi kuchukua maamuzi hayo bila kupewa ruhusa na baby yake!!!
 
Buuhahahahaaaaaaa bize ndioo wew unataka muwe mnachati muda wote??? mweee ila pole sana hebu chunguza fresh huenda kashapata wa kichuochuo buhahaaaaa
 
Hahahaha et ka upepo.....sasa unanrusha roho?haya bhana

No mdogo wangu sikurushi roho na pole sana..sema ulivotaja SUA umenikumbusha miaka ileeeeeeeeee na the good moments we had me na aliekua mylove jioni tulikua tunapendelea kwenda kuleeeeeeee uwanjani kwenye kale kajukwaa halafu ni gizani sasa mweeeh
 
Sema wewe ulishapanga kumpotezea ukaona kwake umekufa au huwez pata mwingine kama yeye. How com unashindwa kuwasiliana na mpenzi wako kwa mwezi mzima hata kama hakutafuti? Jipange usijilazimishie kwa mtu hata kma unampendaje jikaze hizi mambo zinatesa sana
 
pretence tu ndg. Uskute kakomaa mpaka vigimbi..

uhuhuhuhuhuhuhu mbavu zangu miyeeeeeee jaman teh....but kwa kasaikologia kangu kaduchu kanaonesha huyu bado sana yan na mapenzi yatamtesa mnoooooo....
 
hapo chacha!!!..huyo ana anayemuweka bize hapo varsity....tena amenikumbusha kaupepo Ka kuleeeeeeee uwanjani mpaka raha yan SUA dah enzi hizooooo na aliekuwa my beibeeeee the so called Elfas ...may God bless u wherever you are..

Mapenzi ya chuoni umiza kichwa,ukiachwa unamwona akikatiza na mwingine,he he he tulizinguana na mi nikawa na mwingine,naosheaje mbele yake,kukomoana haswaaaaaa!
 
Ngoja wenzake wamsaidie labda ndio ufahamu utamjia...

weh angoje mpaka lin wakati tayari wenzie washamuovateki ndomana anasahauliwa!!!!!????? aamke huyoo naona bado kazinzia na kushakucha.....WAKE UP girl....weki apuuuu.....
 
Mapenzi ya chuoni umiza kichwa,ukiachwa unamwona akikatiza na mwingine,he he he tulizinguana na mi nikawa na mwingine,naosheaje mbele yake,kukomoana haswaaaaaa!

ndoivo yaani mapenzi mchezo mchafu kweli.....tena mapenzi ya chuo ndio kabisaaaaaa...namuonea huruma sana huyo bint mwenyew kakaa anamsubiria mtu wake kaenda chuo lol..pole yake
..
 
Back
Top Bottom