Mwanaume alivyoumbuliwa

Mwanaume alivyoumbuliwa

kwanini alikula??!!!cha mtu huliwa na mtu, chuma tu ndo kinaliwa na kutu....!!!!
 
hakuna cha mume wala mke hapa...hawa wote ni matapeli tu na iko siku huu us******ge wao utamtokea m@k@|!on!

hata mtoa mada nae mwehu vile vile ameacha kaz zake kushangaa upuuzi huu
 
..one day naye atatendwa na itakuwa mbaya zaidiiiiii.....si ajabu atakuja kumwita huyo aliyemchamba na kumwambia ata NDOMU asitumie lengo ni kifuta matusi
 
Huyo dada amejitengenezea mazingira magumu. Watoto wa kihuni wanaweza kufanya yao, huwezi jua jamaa alikuwa anawaza nini kichwani baada ya hiyo aibu. Dada hajielewi huyo.

Kwa kukemea uovu ndio kutokujielewa?. Unashangaza sana sana. Mie nawashangaa sana. Na ukiibiwa na kumjua mwizi msiwe mnapiga yowe ama kuita polisi nyie. Huwezi juwa ni kwa nini alifikia hatua hiyo.
 
Mie nawashangaa kwa nini mnamshambulia huyu Dada. Kwanza mmeoa nyie?. Unaweza kamata mwizi wakati wa kumshughlikia wapo watu huja na kusema asamehewe. Wacha atete Mali ya mumewe acheni mambo ya ajabu.
 
sidhani kama ni mume wake kweli...maana kama ndio hivyo basi mume na mke wote hamnazo
 
Jf inapoteza mvuto kila kukicha. Hawa wanafunzi wanaojiandaa kuanza first year ndio tunawategemea kuandika thread.?. Enzi za jf watu walitumia logic sana kundika hapa kimsingi sijaona mantiki hapa. Sasa jamaa dada kapaki anacheka na mume wake ndio nn
 
hata mtoa mada nae mwehu vile vile ameacha kaz zake kushangaa upuuzi huu
Sidhani kama unayoyasema yana ukweli dada yangu,.....huwezi kuishi bila interactions zozote na watu. kosa langu nikutoa taarifa humu JF?

 
Hashuo tuu huyo mdada, anamjengaa huyo zuzu wake kua hata ukisikia ujue sio kweli...yani dume zima unakaa kusikiliza pumba ...
 
Jf inapoteza mvuto kila kukicha. Hawa wanafunzi wanaojiandaa kuanza first year ndio tunawategemea kuandika thread.?. Enzi za jf watu walitumia logic sana kundika hapa kimsingi sijaona mantiki hapa. Sasa jamaa dada kapaki anacheka na mume wake ndio nn
Kosa kidogo bonge la lawama. JF ni ya watu wote bora tu ajue kusoma na kuandika. kumbuka kuwa typing error siyo ushahidi wa elimu ya mtu.

 
Back
Top Bottom