Udini na Siasa Vyaitafuna Mbeya City

Udini na Siasa Vyaitafuna Mbeya City

Siasa na dini zitumike kuivuruga Mby city? Nitakuwa wa mwisho kukubali. Mambo ya kiufundi tu, wengi huwa hatufanyi analysis ya kutosha kwenye matatizo yetu, tunataka majibu ya mkato.

Ninachojua, dini kwenye michezo huwekwa kabatini kabisa.
 
Amavubi unaweza kuwa sahihi kabisa kwani baada ya yule mama sijui anaitwa mama mwanjelwa wa ccm kusema mbeya city ni timu ya ccm kwani inahudumiwa na manispaa imewakera sana watu wengi waliokuwa wanaitakia mema na michango mbeya city. Ni ukweli usiopingika kuwa ccm haina mashiko kwa baadhi ya watu wengi pale mbeya hasasa wafanya biashara wakubwa wakubwa ambao walikua bega kwa bega kutoa msaada wa wao wa hali na mali ila kilichowakasirisha ni maneno ya kuwa timu ni ya ccm.
 
Nimekaa Mbeya kwa siku kadhaa nimeishuhudia MCC ikicheza, naumia sana investment wanayoyofanya mashabiki na matokeo ya uwanjani................ukweli MCC kama ni kiufundi wako too mechanical na huenda ndiyo sababu ya kutofanya vizuri sana pia ukiongelea nje ya uwanja. Timu ilicheza kwa jihad mwaka mzima na haikubadilika ingawa kuna pros and cons kwa timu kuwa pamoja lakn kama kwa uchezaji wa MCC ilihitaji mabadiliko au kuwa na intermediary exit plan.......................nawasihi watumie fursa hii ya takriban mwezi mzima kutafakari kwa kina na vina
 
Shikamoo mkuu Nakapanya, nashangaa sana hii hoja. Ukitazama uchezaji wa MCC unagundua kuwa tatizo lao ni la kiufundi zaidi na sio kisiasa wala bla blah. MCC ni tofauti na timu zingine zote za VPL, hawakurupuki katika utendaji wao na ndio maana ni timu pekee yenye mikataba mikubwa ya biashara mitatu hadi sasa. Kama washabiki hamtalitazama hili kwa jicho kubwa mtajikuta mnafarakanishwa na timu yenu iliyoonesha njia kwa maneno mbofumbofu kama haya.
Bado washabiki wana moyo na timu yao, na bado wachezaji na dawati la ufundi wako vyema!

nashukuru mkuu,wengi wanatamani sana MCC FC iporomoke,ligi ya msimu huu ina ushindani mkubwa,mkiteleza kidogo tu wenzenu wanatumia nafasi hiyohiyo kuwapiga bao.Mbeya city bado ina nafasi kubwa ya kufanya vizuri na sisi mashabiki bado tuna imani nayo.
 
Last edited by a moderator:
unajua watu wanafikir mpira una aspect moja tu.......mpira una aspects kuu nne; kuna technical partr (to large extent) psychological part, infrastructural part na 'sangoma's part (kidding)
Amavubi unaweza kuwa sahihi kabisa kwani baada ya yule mama sijui anaitwa mama mwanjelwa wa ccm kusema mbeya city ni timu ya ccm kwani inahudumiwa na manispaa imewakera sana watu wengi waliokuwa wanaitakia mema na michango mbeya city. Ni ukweli usiopingika kuwa ccm haina mashiko kwa baadhi ya watu wengi pale mbeya hasasa wafanya biashara wakubwa wakubwa ambao walikua bega kwa bega kutoa msaada wa wao wa hali na mali ila kilichowakasirisha ni maneno ya kuwa timu ni ya ccm.
 
inawezekena ukawa kweli una nia nzuri na timu,ila hoja ulizoleta hapa hazina ukweli na ndio vitu kama hivyo huanza kupandikiza watu chuki na kuleta migogoro ndani ya timu.
Nakapanya umehama Ndanda?
 
nashukuru mkuu,wengi wanatamani sana MCC FC iporomoke,ligi ya msimu huu ina ushindani mkubwa,mkiteleza kidogo tu wenzenu wanatumia nafasi hiyohiyo kuwapiga bao.Mbeya city bado ina nafasi kubwa ya kufanya vizuri na sisi mashabiki bado tuna imani nayo.
Ndio kwanza mechi saba za ligi.
Ukitazama takwimu za mechi zao kiufundi utagundua kwamba sio wabovu kama ambavyo matokeo ya mwisho yanaweza kukufanya uamini. Nadhani kusuasua kwao kunaweza kuwa kunatokana na uongozi kuweka mkazo mwingi katika kutengeneza mustakabali wa timu zaidi, nasikia wana eneo kwa ajili ya uwanja tayari na mpango wa kiuchumi una sapoti toka kwa wadhamini kadhaa.
Haiwezekani timu iingie mikataba kadhaa ya mamilioni mia kadhaa halafu mtu aje aseme inasuasua, ni kichekesho. MCC wanajenga taasisi imara kwanza, ambayo ni zaidi ya ushindi wa uwanjani.
 
Ukweli msimu huu Mbeya City imeshindwa kufurukuta, ila bado ina nafasi ligi bado inaendelea, kwako Amavubi sijaona ukieleza ni namna gani UDINI na SIASA zilivyo athiri timu ya Mbeya City.
 
Last edited by a moderator:
Nakapanya umehama Ndanda?

Never on earth,sijawahi kuwa shabiki wa Ndanda hata siku moja,mimi nazungumzia mpira coz naupenda japo sijawahi kuucheza kivile,Ndanda niliizungumzia humu jukwaani kwasababu kwa sasa npo huku Mtwara and I know was going her by the.

Mbeya city ndio timu yangu.Simba nitaishabikia kwavile ndio timu yangu ya miaka yote kabla Mbeya city haijaingia premier league.

Upo hapo Amavubi
 
Ukweli msimu huu Mbeya City imeshindwa kufurukuta, ila bado ina nafasi ligi bado inaendelea, kwako Amavubi sijaona ukieleza ni namna gani UDINI na SIASA zilivyo athiri timu ya Mbeya City.

True that comrade,aonyeshe ni jinsi hivyo alivyovitaja vinaiathiri timu hii
 
Last edited by a moderator:

unajua ukanjanja mwingine wa hawa waandishi wetu ndio unaleta matatizo sana kwenye maeneo mengi ya nchi yetu.Sasa huyo sijui Bin zubery haoneshi ni jinsi gani hao wachungaji wameiathiri MCC,je hao wachungaji wanategemea hizo hostel ili wapate mishahara yao?Mbaya zaidi mwishoni amew eka attachment ya stakabadhi ya malipo kitu ambacho binafsi kinafanya nimuone huyo mwandishi kanjanja.Amavubi karibu MCC FC
 
Ndio kwanza mechi saba za ligi.
Ukitazama takwimu za mechi zao kiufundi utagundua kwamba sio wabovu kama ambavyo matokeo ya mwisho yanaweza kukufanya uamini. Nadhani kusuasua kwao kunaweza kuwa kunatokana na uongozi kuweka mkazo mwingi katika kutengeneza mustakabali wa timu zaidi, nasikia wana eneo kwa ajili ya uwanja tayari na mpango wa kiuchumi una sapoti toka kwa wadhamini kadhaa.
Haiwezekani timu iingie mikataba kadhaa ya mamilioni mia kadhaa halafu mtu aje aseme inasuasua, ni kichekesho. MCC wanajenga taasisi imara kwanza, ambayo ni zaidi ya ushindi wa uwanjani.
Nikweli kuwa na taasisi Imara ni muhimu lkn pia wajue hata hiyo Mikataba waliyopata imetokana na Matokeo mazuri ya uwanjani so pamoja na Mipango mingi ya baadae lkn ushindi wa uwanjani ni muhimu pia
 
Mimi kwa mtazamo wangu nadhani wachezaji wamechoka kutokana na mchaka mchaka wa mwaka wa jana,,,,! bench la I find lingeongeza nguvu mpya kwenye eneo la Ushambuliaji huenda ingesaidia kuleta changamoto mpya,,!
 
Tatizo la Mbeya City ni la kiufundi zaidi labda pamoja na saikolojia. Mtaalamu wa ufundi wa ile timu allikuwa ni yule kocha msaidizi Maka, yeye ni mjuzi sana wa kuibua vipaji, kuwapa hamasa wachezaji na kuwasikiliza shida zao. Kwa mpira wa kibongo yule Maka anajua kufundisha soka lakini pia anajua vyema saikolojia ya wachezaji.

Mwambusi Juma, yeye kafanikiwa kujenga jina zaidi lakini sio fundi kivile, mafanikio yake yamekuwa yakija kwa kushirikiana na Maka...yeye na Maka waliunda benchi nzuri la Ufundi

Wakati Mbeya City inapanda ligi kuu maamuzi ya wadau wengi wa MCC walitaka Maka ndie awe kocha mkuu kutoka na ujuzi, ufundi na shule pia. Lakini mkurugenzi wa jiji wakati huo Idd alimtaka Juma Mwambusi ndio awe kocha mkuu na ikawa hivyo

Bahati nzuri timu ikafanya vyema msimu uliopita, hivyo hakuna aliyekumbuka kuwaza mapungufu ya Juma Mwambusi. Baada ya Juma kupata tuzo ya ukocha bora, ile fungu lote akamgawia Maka <200,000, hapo ndipo Maka akawapa choice MCC, aidha awe kocha mkuu yeye au aondoke. Ngoma ikawa namna ya kumuondoa Mwambusi, wakati wakiwa wanatafakari yule Maka akachukuliwa na timu moja inaitwa Panoni? ya huko Moshi.

Tatizo la Mbeya City kiufupi ni kuondoka kwa Mtaalamu Maka na kubaki kwa Juma Mwambusi peke yake
 

Mbona sioni udini hapo kwenye hiyo link uliyonipa? Kaka hebu litendee haki jukwaa hili. Hapo hakuna udini, ni madai ya kawaida kabisa, na unaweza kulaaniwa na ye yote maadamu tu anacholalamikia ni haki yake na ana jasho nacho. Usichanganye masuala hapa.

Nilifikiri kuna upendeleo wa Wachezaji kulingana na imani/dini zao, kumbe madeni !!!!!!! Jioni njema.
 
Nikweli kuwa na taasisi Imara ni muhimu lkn pia wajue hata hiyo Mikataba waliyopata imetokana na Matokeo mazuri ya uwanjani so pamoja na Mipango mingi ya baadae lkn ushindi wa uwanjani ni muhimu pia
Kuyapeleka haya mambo bega kwa bega sio rahisi sana mkuu, nawarai washabiki wasiupe presha uongozi. MCC wanachohitaji kwa sasa ni kujilinda wasishuke daraja, kisha mengine yatajipanga taratibu timu ikishakuwa ma msingi imara.
 
Tatizo la Mbeya City ni la kiufundi zaidi labda pamoja na saikolojia. Mtaalamu wa ufundi wa ile timu allikuwa ni yule kocha msaidizi Maka, yeye ni mjuzi sana wa kuibua vipaji, kuwapa hamasa wachezaji na kuwasikiliza shida zao. Kwa mpira wa kibongo yule Maka anajua kufundisha soka lakini pia anajua vyema saikolojia ya wachezaji.

Mwambusi Juma, yeye kafanikiwa kujenga jina zaidi lakini sio fundi kivile, mafanikio yake yamekuwa yakija kwa kushirikiana na Maka...yeye na Maka waliunda benchi nzuri la Ufundi

Wakati Mbeya City inapanda ligi kuu maamuzi ya wadau wengi wa MCC walitaka Maka ndie awe kocha mkuu kutoka na ujuzi, ufundi na shule pia. Lakini mkurugenzi wa jiji wakati huo Idd alimtaka Juma Mwambusi ndio awe kocha mkuu na ikawa hivyo

Bahati nzuri timu ikafanya vyema msimu uliopita, hivyo hakuna aliyekumbuka kuwaza mapungufu ya Juma Mwambusi. Baada ya Juma kupata tuzo ya ukocha bora, ile fungu lote akamgawia Maka <200,000, hapo ndipo Maka akawapa choice MCC, aidha awe kocha mkuu yeye au aondoke. Ngoma ikawa namna ya kumuondoa Mwambusi, wakati wakiwa wanatafakari yule Maka akachukuliwa na timu moja inaitwa Panoni? ya huko Moshi.

Tatizo la Mbeya City kiufupi ni kuondoka kwa Mtaalamu Maka na kubaki kwa Juma Mwambusi peke yake

Wafanye mpango wamrudishe huyo maka
 
6.Financially mbeya city wapo vizuri na kila siku wanaingia mikataba minono na makampuni mbalimbali,juzi kati wameingia mkataba na cocacola,wakaingia mkataba na benki ya posta,wanadhaminiwa na Binslum tena kwa pesa ndefu kupitia RB battery sasa hiyo ya kusema financialy hawako fit unaitoa wapi?leta hoja nyingine siyo hii mufilisi.


MKuu pale mtakapo kuja kungundua kuwa mmoja wa mchawi wenu ni huyu jamaa hakika mtakuwa mmechekewa, kama hamjuhi kawaulizeni Coastal union.

Huyu jamaa ni nuksi.
 
Back
Top Bottom