Recent content by mzawa_org

  1. M

    TANZIA Amri Athuman (King Majuto) afariki dunia akiwa hospitali ya Taifa Muhimbili

    Mwenyewez mungu ailaze mahari pema peponi
  2. M

    Tutaje ahadi za kimapemzi ambazo hazitekelezeki

    Utakuwa mke wangu week tu ananichefua
  3. M

    Uzi wa vyakula tu

    Mm napenda sea food hatari
  4. M

    Mwanaume Kujiamini ni Silaha Tosha Kwenye Mahusiano

    Kiukweli mm mwenyewe Nina tatizo na watoto wazuri Kuna company moja naendaga masaki Kuna visu vikali Sana na mm ni supplier so naishia kuwasifia Sana
  5. M

    Funzo: Hutakiwi kutikisa mtungi wa gesi ili kujua kiasi kilichobakia

    Mmmh natumia gas kila siku but cjajua huo mlipuko unatoka vipi ikiwa imezimwa
  6. M

    Sakata la Mafuta: Ni bifu la Dr. Mpango na Mwijage?

    Kiukweli hapa Kuna mkanganyiko Sana katiaka hizi taasisi na zote zinafanya kazi inayofanana kwann zisivunjwe ikabaki
  7. M

    Ujumbe wa wadada mitandaoni na picha haviendani

    Hahaha naona umeamua kuwatolea uvivu
  8. M

    SOMALIA: Mwanamke aliyeolewa mara 7 apigwa mawe hadi kufa

    Aisee hii si sawa anayetakiwa kumuhukumu ni mwenye mungu
  9. M

    Chumvi ya Neel (Neel salt) ni biashara ya nani?

    Hiyo chuvi nimetokea kuikubali Sana na ndo bidhaa yangu kubwa aisee jamaa yupo vzr Sana nanejipanga kuliteka soko
  10. M

    Tetesi: Mazungumzo yaanza Bakhressa kuinunua Channel Ten

    Hila mm napenda morning magic redio ya mahajabu msalimie salumu
Back
Top Bottom