Sakata la Mafuta: Ni bifu la Dr. Mpango na Mwijage?

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,882
13,171
Hili bifu linashangaza.

Lakini inaelekea kiini ni pale Waziri wa Viwanda na Biashara kulalamika hivi karibuni kuwa Utendaji wa TRA unaathiri ukuaji wa maendeleo ya viwanda na Biashara.

Hata Rais Magufuli yuko on record kule Dodoma akionyesha kutoridhishwa na utendaji wa TRA na unavyoathiri viwanda na biashara.

Jana, Mh. Spika Ndugai ameonyesha kukerwa kwake na hili bifu kati ta TRA(Mango) ma viwanda vya mafuta(Mwijage) na jinsi mwananchi wa kawaida atakavyoumia.

Mtu wa kawaida anajiuliza, hivi Serikali inaanza kumeguka vipande vipande? Kila waziri aking'ang'ania sekta yake?
 
Why serikali inakuwa na TBS & TFDA? Hizi zingekuwa taasisi moja tu.. Hapa serikali inapoteza fedha nyingi kwa kuwa na taasisi mbili zinazofanya kazi ile ile.. Fumua hizi taasisi unda moja tu..ASAP

Nakubali TRA, TBS & TFDA ni taasisi ambazo ni kikwazo sana ktk ukuaji wa viwanda, hasa TRA & TFDA, viwanda hawiwezi kujengwa au kukua vilivyopo kwa vikwazo vya hizi taasisi.. Mh. Rais wetu do something ASAP, wakuu wa hizo taasisi hawajui kabisa ww unataka Tanzania ya aina gani... Fukuza hao haraka sana
 
TRA imeota mapembe. Very soon watafungua maabara yao nao waanze kwenda sambamba na Mkemia Mkuu wa Serikali. Nasikia siku hizi wana "police department" yao na wanaarrest kama kawaida mkiziungana kwenye masuala ya kodi:D
Ila ina hatarisha utendaji kazi.. hiyo kazi ya Mkemia mkuu TRA wanaleta ujinga tu.
 
Kiukweli hapa Kuna mkanganyiko Sana katiaka hizi taasisi na zote zinafanya kazi inayofanana kwann zisivunjwe ikabaki
 
TRA imeota mapembe. Very soon watafungua maabara yao nao waanze kwenda sambamba na Mkemia Mkuu wa Serikali. Nasikia siku hizi wana "police department" yao na wanaarrest kama kawaida mkiziungana kwenye masuala ya kodi:D
hataree..............
 
Taasisi zingine zinachekesha na ni ulaji tu usio na faida kwa nchi. Juzi nimepita ocean road nikaona ofisi za taasisi ya chakula na lishe wakati huku external kuna ofisi za chakula na dawa. Unabaki unashangaa tasisi hizi mbona zinafanana? Kwani lishe sio chakula?
 
hapa kuna shida kwasababu juzi spika alisema nataka kesho jioni serikali itoe jibu kuhusu hili kama ikishindikana mimi kama spika nitalifunga kiaina hlf nitawaachia watanzania
Kwa kauli hii nilistuka nikajua kuna kitu hakipo sawa
 
hapa kuna shida kwasababu juzi spika alisema nataka kesho jioni serikali itoe jibu kuhusu hili kama ikishindikana mimi kama spika nitalifunga kiaina hlf nitawaachia watanzania
Kwa kauli hii nilistuka nikajua kuna kitu hakipo sawa
Kuna kitu kinafichwa hapa, maana solution ya tatizo hili la mafuta lilikuwa dogo sana.
 
Why serikali inakuwa na TBS & TFDA? Hizi zingekuwa taasisi moja tu.. Hapa serikali inapoteza fedha nyingi kwa kuwa na taasisi mbili zinazofanya kazi ile ile.. Fumua hizi taasisi unda moja tu..ASAP

Nakubali TRA, TBS & TFDA ni taasisi ambazo ni kikwazo sana ktk ukuaji wa viwanda, hasa TRA & TFDA, viwanda hawiwezi kujengwa au kukua vilivyopo kwa vikwazo vya hizi taasisi.. Mh. Rais wetu do something ASAP, wakuu wa hizo taasisi hawajui kabisa ww unataka Tanzania ya aina gani... Fukuza hao haraka sana
Naunga mkono hoja.
 
Taasisi zingine zinachekesha na ni ulaji tu usio na faida kwa nchi. Juzi nimepita ocean road nikaona ofisi za taasisi ya chakula na lishe wakati huku external kuna ofisi za chakula na dawa. Unabaki unashangaa tasisi hizi mbona zinafanana? Kwani lishe sio chakula?
Hao watakujibu Lishe ni DIET na chakula ni FOOD ndio akili zao hizo zilivyo.
 
Hili bifu linashangaza.

Lakini inaelekea kiini ni pale Waziri wa Viwanda na Biashara kulalamika hivi karibuni kuwa Utendaji wa TRA unaathiri ukuaji wa maendeleo ya viwanda na Biashara.

Hata Rais Magufuli yuko on record kule Dodoma akionyesha kutoridhishwa na utendaji wa TRA na unavyoathiri viwanda na biashara.

Jana, Mh. Spika Ndugai ameonyesha kukerwa kwake na hili bifu kati ta TRA(Mango) ma viwanda vya mafuta(Mwijage) na jinsi mwananchi wa kawaida atakavyoumia.

Mtu wa kawaida anajiuliza, hivi Serikali inaanza kumeguka vipande vipande? Kila waziri aking'ang'ania sekta yake?
Mifisi miroho ya madaraka inatutesa. Watanzania milioni 50 tunateswa Na fisi wawili wa CCM
 
Back
Top Bottom