Habari wakuu,
Natumaini ni wazima wote licha ya changamoto ya covid19.
Naomba ushauri kwa wale waliopo Zanzibar au waliowahi kupatembelea;
Ni hotel gani nzuri ambayo una huduma nzuri lkn pia ipo karibu na vivutuo vya utalii?
Pia, kwa honey moon mnashauri hoteli gani?
Pia, mnashauri...
Ni imani tuu za kishirikina.Umewahi kudadisi hiyo imani ilianza lini?Baada ya matukio gani?
Inawezekana wahenga walisambaza 'uongo' ili msiikate sana bila sababu za msingi ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.