Recent content by Myomb_0

  1. Myomb_0

    Nifikie wapi kuitalii Zanzibar kwa wiki moja?

    Habari wakuu, Natumaini ni wazima wote licha ya changamoto ya covid19. Naomba ushauri kwa wale waliopo Zanzibar au waliowahi kupatembelea; Ni hotel gani nzuri ambayo una huduma nzuri lkn pia ipo karibu na vivutuo vya utalii? Pia, kwa honey moon mnashauri hoteli gani? Pia, mnashauri...
  2. Myomb_0

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Umejifichia Shanty town sio😀😀
  3. Myomb_0

    Zahera siku zako zinahesabika

    Mkuu, hebu tuachie kaniki yetu.Sisi ndio tunajua ina rangi gani.
  4. Myomb_0

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    Hatari sana hii. Ni jukumu letu sote kutoa elimu kwa wadogo zetu.Tusikae kimya.
  5. Myomb_0

    Mjimya: Mti adui wa dhahabu unaoogopwa na wachimbaji kuliko hata nyoka

    Itakua wahenga waliona miti inakatwa sana bila sababu za msingi wakasambaza uongo ... Ni kama yale maswala ya kuwaambia wajawazito wasile mayai ....
  6. Myomb_0

    Mjimya: Mti adui wa dhahabu unaoogopwa na wachimbaji kuliko hata nyoka

    Ni imani tuu za kishirikina.Umewahi kudadisi hiyo imani ilianza lini?Baada ya matukio gani? Inawezekana wahenga walisambaza 'uongo' ili msiikate sana bila sababu za msingi ...
  7. Myomb_0

    Wanaume wengi ni mabubu kitandani mjiongeze

    Kuongea ni muhimu bila kusahau miguno ya simba na kupapasa.
  8. Myomb_0

    Anthony Lusekelo: Haijawahi kutokea dunia kwa nchi kununua ndege nane kwa mpigo

    Aisee, kwamba uzi wako hauna title.
  9. Myomb_0

    Nipo single, haya ni Matumizi yangu ya wiki moja - nipe ushauri

    Una kipato gani? Hayo ni matumizi ya wastani au ni halisi kwa wiki hiyo?
  10. Myomb_0

    Bora kuishi na slow learners wa darasani,kuliko kuishi na slow learners wa mambo ya siasa na wanasiasa

    Hapa siwalaumu wapiga kura moja kwa moja.Labda kama unazungumzia kuandamana.
  11. Myomb_0

    Povu langu nisiye na nyumba

    Mimi nakusalimia dada Evelyn Salt Zichukue hizo gambo kama motisha wa wewe kujenga.Zisikuumize bure.Wakikupa lemons tengeneza lemonades...
  12. Myomb_0

    Wadada wote karibuni darasa la wakubwa.

    Ni kweli baadhi ya wanaume hawatulii ila hili bandiko lina mashiko. Kuna watu ni wavivu sana dada yangu...acha waelekezwe kama watasikia....
  13. Myomb_0

    Ufahamu Mti wa Mlusina (Leucaena leucocephaela)

    Huu mti ulinitengua mkono ototoni na sikusema nyumbani.Nilikatazwa kupanda miti hivyo nikajua nikielezea nimetengukaje mkono itakula kwangu...
Back
Top Bottom