Anthony Lusekelo: Haijawahi kutokea dunia kwa nchi kununua ndege nane kwa mpigo

Naomba muamini kama haijawahi kutokea nami narudia haijawahi kutokea. Mashirika na Nchi zoote ukisikia wamenunua ndege huwa ni some kind of lease na si cash kama ilivyofanya serikali. Wametowa cash wakati kawaida huwa ni mkataba unalipa kidogo kidogo na riba ipo. Yuko sahihi labda kama hamtaki kumuelewa.
Boeing au Airbus hawafanyi biashara ya kulease ndege mkuu ni wauzaji,ila kuna makampuni yananunua na kulease yapo,Indonesia, Malaysia,China,Iran,lyanair,Quantas wameoda ndege ngapi hapo ndo utajua Lusekelo alivyomjinga,anafikiri watanzania wote sawa na waumini anaowadanganya kanisani kwake.
 
Atakuwa hayuko sawa huyo hakika.Maradhi yashaanza kumtafuna.Ndege nane,wakati kuna nchi zinaagiza ndege zaidi ya mia moja kwa mpigo!!.Nchi kama Iran iliagiza ndege mia moja kutoka Airbus,achilia mbali kutoka Boeing.China wameagiza ndege karibia 60 kutoka Airbus, achilia mbali kutoka Boeing.Halafu anakuja mnywa konyagi mmoja na kutapika uharo.Mungu mnusuru mja wako Lusekelo
NaYeye kwakupenda sifa anapamba hadi anajihizirisha kuwa kunakitu anakitaka kutoka mamlaka iliopo asaidiwe anajikuta anasema uongo anajiita mtumishi wamungu unasema uong
 
Jana Jumamosi kwenye kituo cha runinga cha Star TV ulioneshwa mkutano wa waandishi wa habari na mzee wa upako, mkutano huo ulikita kwenye siasa na kujitambulisha rasmi kuwa yeye ni kada wa CCM toka utotoni!

Lusekelo aliongea mambo mengi kuhusu awamu hii ya Magufuli yaliyokuwa na lengo la kumtonya amkumbuke na yeye huko aliko, hali si nzuri kwake. Mzee wa upako alielezea alivyo kuwa akiimba msitari wa mbele kwenye mikutano ya CCM ambampo kuthibitisha hill alitoa kibwagizo cha wimbo wa CCM.

Inaonesha wazi kuwa mambo hayaendi sawa kiasi cha muonekano wake kuwa si ule tuliouzoea kumuona, ucheshi haupo tena.
Huyu kalewa konyagi ka nchi kama QATAR au UAE wananunua airbus380 sitini 60 kwa wakati mmoja sembuse hivi vi bajaji vyetu
 
Nimecheka kwa sauti
Atakuwa hayuko sawa huyo hakika.Maradhi yashaanza kumtafuna.Ndege nane,wakati kuna nchi zinaagiza ndege zaidi ya mia moja kwa mpigo!!.Nchi kama Iran iliagiza ndege mia moja kutoka Airbus,achilia mbali kutoka Boeing.China wameagiza ndege karibia 60 kutoka Airbus, achilia mbali kutoka Boeing.Halafu anakuja mnywa konyagi mmoja na kutapika uharo.Mungu mnusuru mja wako Lusekelo
 
Maswali yao yanakuwa kana kwamba yanamuongoza anayeulizwa kuyajibu vizuri.Hatuna waandishi wa habari ambao ni critical questioners
Utamsikia Muandishi: "Hivi huoni kwamba Mheshimiwa baada kufanya yote haya kuna haja ya kuingezewa muda wa kutongoza ili tuweze kupiga hatua ya maendeleo?"
Hawa ndio waandishi wa TZ
 
Dubai, UAE, 14 February 2019 – Emirates airline today announced an order for 40 A330-900 aircraft, and 30 A350-900 aircraft, in a heads of agreement signed with Airbus. The deal is worth US$ 21.4 billion at list prices.

The latest generation Airbus A330neo and A350 aircraft, will be delivered to Emirates starting from 2021 and 2024 respectively.

In addition, Airbus and Emirates reached an agreement on outstanding A380 deliveries. The airline will receive 14 more A380s from 2019 until the end of 2021, taking its total A380 order book to 123 units.
 
Jana Jumamosi kwenye kituo cha runinga cha Star TV ulioneshwa mkutano wa waandishi wa habari na mzee wa upako, mkutano huo ulikita kwenye siasa na kujitambulisha rasmi kuwa yeye ni kada wa CCM toka utotoni!

Lusekelo aliongea mambo mengi kuhusu awamu hii ya Magufuli yaliyokuwa na lengo la kumtonya amkumbuke na yeye huko aliko, hali si nzuri kwake. Mzee wa upako alielezea alivyo kuwa akiimba msitari wa mbele kwenye mikutano ya CCM ambampo kuthibitisha hill alitoa kibwagizo cha wimbo wa CCM.

Inaonesha wazi kuwa mambo hayaendi sawa kiasi cha muonekano wake kuwa si ule tuliouzoea kumuona, ucheshi haupo tena.
K- Vant zina madhara makubwa sana napendekeza zipigwe marufuku.
 
Nafikiri lengo kubwa la press conference lilikuwa kuwaonyesha kuwa yeye yupo na ni mzima wa afya sababu kuna wazushi walizusha kafa wengine wakasema hatavuka mwezi wa tano.Hayo mengine aliyoongea ni mazungumzo baada ya habari
 
Jana Jumamosi kwenye kituo cha runinga cha Star TV ulioneshwa mkutano wa waandishi wa habari na mzee wa upako, mkutano huo ulikita kwenye siasa na kujitambulisha rasmi kuwa yeye ni kada wa CCM toka utotoni!

Lusekelo aliongea mambo mengi kuhusu awamu hii ya Magufuli yaliyokuwa na lengo la kumtonya amkumbuke na yeye huko aliko, hali si nzuri kwake. Mzee wa upako alielezea alivyo kuwa akiimba msitari wa mbele kwenye mikutano ya CCM ambampo kuthibitisha hill alitoa kibwagizo cha wimbo wa CCM.

Inaonesha wazi kuwa mambo hayaendi sawa kiasi cha muonekano wake kuwa si ule tuliouzoea kumuona, ucheshi haupo tena.
Hiyo title ni uongo usiopimika.
 

Similar Discussions

8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom