Mkuu uzi mzuri maana nami nimekua nafuatilia kuwekeza kwenye hii biashara dereva niwe peke yangu ila baadae nimpe mtu. Tafadhali nijuze kwani kipande ulikua uchukue ngapi kwa siku na pato zima ikowa ni pamoja na wese mlifanikiwa kuingiza bei gani? Isije ikawa dereva naye aliingia tamaa au...
Wadau habarini, naomba mwenye uelewa wa biashara ya UBER anisaidie mawili matatu ikiwa ni pamoja na uzuri na hasara zake.
Nataja kuwekeza sekta hiyo.
Natanguliza shukrani
Miandiko mibovu kama hii ndo iliyomsababishia yule mama akapewa dawa ya Mkuyati awekewe machoni badala ya dawa halisi ya macho. Mtatuua jamani kuweni na miandiko inayoeleweka
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa kagongwa swali kaona ni gumu kahamia kwa mwenzie na kumnong'oneza....
"AISEE HILO SWALI GUMU SANA HEBU NIPE MATERIAL YAKO NIDESE... HAHAHAHAHA"
I smell something fish on this
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.