sipendi wanzanibari wanavyodeka. nadhani imefika mahali tuwatupe kama ganda la muwa. karibia kila kitu wanapata toka bara halafu ng'weee, ngw'eee, ng'weee. stupid
Mbona dogo kifungua tumbo cha mkuu wa kaya juzi tu kanunuaBugatti Veyron Super Sportna mmekaa kimya? V8 ni gari ya kawaida sana. Soma Fastest Cars In The World: Top 10 List 2011-2012 utaacha kushangaa kwa nini mtu anatumia V8. Binafsi nanukuu yafuatayo: -
"Bugatti Veyron Super Sport: 267...
"Anza na hili la Nyumba za Umma waliojiuzia bei rahisi Vigogo wa serikali na wafanyabiashara wakubwa tena kwa bei rahisi,chonde chonde anza na hilo kwani lina-effect uchumi wa nchi na tumeona viongozi wa serikali wanakaa hotelin na kua na ofisi hoteli coz nyumba za kukaa hawana kwa sababu...
Juzi hapa nilisoma gazeti fulani hivi lenye madai kwamba alama ya vidole ya "V" inayotumiwa na CDM ni alama ya Freemasons na kwamba Freemansonry ni dini ya kumuabudu Shetani. Binafsi nadhani huu ni upotoshaji wa mambo. Isipokuwa, kabla ya kuhitimisha, naomba michango yenu juu ya hadidu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.